Hii Olimpiki wenye miaka 30 kwenda juu ni wa kutafuta Kwa tochi. Ina maana nishakuwa mtu mzima aisee

Hii Olimpiki wenye miaka 30 kwenda juu ni wa kutafuta Kwa tochi. Ina maana nishakuwa mtu mzima aisee

Wasikupe moyo mkuu,

30's ni umri ambao wengi wanaanza kupata stability ya kimaisha na kifamilia. Kwa hiyo ukimkuta mwanamichezo mwenye umri wa 30's bhasi lazma atakuwa kwenye peak yake maana ana experience ya zaidi ya miaka kumi.

Fikiria tu ulivyokuwa 16-23
Ulikuwa unamchukuliaje mtu mwenye 30+. Ukipata jibu lako bhasi huyo mwenye 30+ ndio wewe kwa sasa duniani 😁😁
 
Ukiwa na miaka 30 na ushaachieve almost kila kitu kwenye maisha sio issue hata issue ni una miaka 30+ na huna chochote cha maana aisee maumivu yake acha tuu.
 
Wasikupe moyo mkuu,

30's ni umri ambao wengi wanaanza kupata stability ya kimaisha na kifamilia. Kwa hiyo ukimkuta mwanamichezo mwenye umri wa 30's bhasi lazma atakuwa kwenye peak yake maana ana experience ya zaidi ya miaka kumi.

Fikiria tu ulivyokuwa 16-23
Ulikuwa unamchukuliaje mtu mwenye 30+. Ukipata jibu lako bhasi huyo mwenye 30+ ndio wewe kwa sasa duniani 😁😁
Acha kabisa.
 
Wasikupe moyo mkuu,

30's ni umri ambao wengi wanaanza kupata stability ya kimaisha na kifamilia. Kwa hiyo ukimkuta mwanamichezo mwenye umri wa 30's bhasi lazma atakuwa kwenye peak yake maana ana experience ya zaidi ya miaka kumi.

Fikiria tu ulivyokuwa 16-23
Ulikuwa unamchukuliaje mtu mwenye 30+. Ukipata jibu lako bhasi huyo mwenye 30+ ndio wewe kwa sasa duniani 😁😁

😃😃
Hii ni zaidi ya shambulio la kigaidi. Ukweli Mchungu Sana
 
Kwema Wakuu!

Nimetulia zangu na-enjoy zangu, Kwa Raha zangu naburudika na Mashindano ya Olimpiki Paris 2024 yanayofanyika huko Ufaransa.

Nafurahi zangu lakini ghafla nagundua kuna Jambo halipo Sawa hapa. Kila Mashindano ñàona Hakuna weñye umri kama wàngu. Jàmani! Jàmani!

Nikabadili zangu channel niangalie upande Mwingine nako naona wanamichezo wengi wanamiaka 22-27.

Weñye thelasini kwenda juu ni nadra Sana.

Furaha yangu ikayeyuka.
Nimeamua kucheza zangu game tuu.

Hii inamaanisha nini?
Sisi tushaingia kwèñye uzee au vipi?
Mashindano haya yanaubaguzi. Lakini wewe tulia tuu

Nduki🏃🏃
Wewe cheza kwenye ile graundi ya futi 6 kwa 6 na kuogelea tandika mkeka chini, mtainjoi kuliko.
 
Back
Top Bottom