Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine......Miaka hiyo watu walisha kua na ustaarabu wa aina hiyoo,miaka mia baadae sisi hatuja fikia walipokua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wametoka mbaliView attachment 2021428
Gari ya Council ilimwaga maji barabarani kupunguza vumbi. Ilikua siku za kiangazi na vijana walijipooza kwa maji.
Hebu na sisi tuweke zetu
Leo hii London ni kitu kingine kabisa mifumo imara ya Usafi...usafi na miji midogo ndani ya jiji yenye kila kitu...Usalama thabiti yaani unazama chini ya Ardhi au juu na train kutoa Terminal three West Land mpaka Shenfield umbali wa Dar chalinze kwa dakika 40 tu.....
Au London Yorkshire popote muda saa 3 kwa train safiiii....wakati Posta Mwenge km 20 saa 3
Wenzetu Ulaya particularly Britain ustaarabu ulianza tangia enzi za Feudalism 1400's huko.Miaka hiyo watu walisha kua na ustaarabu wa aina hiyoo,miaka mia baadae sisi hatuja fikia walipokua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sky this is very interesting, 1910 is very recent! Leo UK wamepiga hatua sana sana katika interval hiyo ndogo, Sisi tunakwama wapi?View attachment 2021428
Gari ya Council ilimwaga maji barabarani kupunguza vumbi. Ilikua siku za kiangazi na vijana walijipooza kwa maji.
huyu ndiyo mume wako?
Sisi bado tunahangaika na vyooo[emoji1787][emoji1787]Wenzetu Ulaya particularly Britain ustaarabu ulianza tangia enzi za Feudalism 1400's huko.
Pamoja na kubarikiwa mito na maziwa makubwa yenye ujazo mkubwa wa fresh water lakini bado tuna aza ya maji kwa matumizi salama na kuzalisha umeme wa hydro nchi nzima.Sisi bado tunahangaika na vyooo[emoji1787][emoji1787]
Unafurahia hali hiyo ya London kutokana na aina ya watu wanaoishi huko.Leo hii London ni kitu kingine kabisa mifumo imara ya Usafi...usafi na miji midogo ndani ya jiji yenye kila kitu...Usalama thabiti yaani unazama chini ya Ardhi au juu na train kutoa Terminal three West Land mpaka Shenfield umbali wa Dar chalinze kwa dakika 40 tu.....
Au London Yorkshire popote muda saa 3 kwa train safiiii....wakati Posta Mwenge km 20 saa 3