Hii picha ilipigwa mwaka 1843 na wamissionari wa Kiingereza walipofika Magila, Muheza

Hii picha ilipigwa mwaka 1843 na wamissionari wa Kiingereza walipofika Magila, Muheza

Sidhani kama ni kweli, Anglikan ni England, na hao ni Wajerumani, hivyo nafikiri wamekosea hilo haliwezi kuwa Kanisa la Angelikani labda Walutheri.
 
Sidhani kama ni kweli, Anglikan ni England, na hao ni Wajerumani, hivyo nafikiri wamekosea hilo haliwezi kuwa Kanisa la Angelikani labda Walutheri.
Walutheri na Wakatoliki walielekea Lushoto, walipenda hali ya hewa, Anglicana walipenda kujenga Vuga lakini Mtemi Kimweri aliwakatalia. Muheza walipita kwa bahati tu wakielekea Malawi kutoka Lushoto, walipapenda sana na lakini wanakijiji waliwapa eneo la mwamba kuwakomoa. Matokeo yake walipasua mwamba na kutumia mawe kujengea kanisa, shule na hospitali.
 
Magila kama kituo cha Waanglikana ilianzishwa mwaka 1868. Chanzo changu "History of Tanganyika" ya Iliffe, uk. 85.
"The first to arrive were French Holy Ghost Fathers. They settled in Zanzibar in 1863, moved their headquarters to Bagamoyo in 1868, and in 1877 built their first inland station at Mhonda
in Ungulu, later establishing themselves also in Uluguru.
The next group were Anglicans of the Universities Mission to Central Africa,
who also settled first in Zanzibar, in 1864, and shortly afterwards began work on the mainland at Magila, on the border between Bonde and Usambara, and at Masasi, in the extreme south.
Another Anglican body, the Church Missionary Society, established a station at Mpwapwa
on the road to Uganda in 1876.
The London Missionary Society - a British Non-Conformist organisation - began work at Mirambo’s capital in 1878 and was also active along Lake Tanganyika.
Finally, the White Fathers, members of a largely French society formed explicitly for work in Africa, reached Ujiji in 1879, and later established bases at Unyanyembe in 1881 and at Karema, on the south-eastern shore of Lake Tanganyika, in 1885"

Kama kanisa la kikristo katika Tanzania ya leo - yote ilianza Unguja. Kutoka hapo Wakatoliki wa "Mapadre wa Roho Mtakatifu" (Spiritan) walianza Bagamoyo . Waanglikana wa UMCA (Misioni ya Vyuo Vikuu kwa Afrika ya Kati) walianza Magila 1868 na Masasi 1876. (Chanzo; The History Of The Universities’ Mission to Central Africa, 1859-1898, unaipata pale archive.org)
Walutheri walifuata baadaye.
 
Sidhani kama ni kweli, Anglikan ni England, na hao ni Wajerumani, hivyo nafikiri wamekosea hilo haliwezi kuwa Kanisa la Angelikani labda Walutheri.
Ni waanglican Mzee .... Ila ile shule ina hali mbaya mbaya sanaaaa aseee
 
Chakushangaza shule ya kwanza imeanza kwao muheza ila wapo nyuma kielimu kuliko maeneo mengine yaliyofuata kupata shule
Nilishazungumzia hili

Waarabu na UISLAM wao ndio waliorudisha nyuma Tanga na pwani nzima kielimu

Waling'ang'aniza tu Ilmu Akhera badala na ya Dunia.

Popote walipoishi Waarabu zamani bas ni MASIKINI SANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom