Hii picha imenifikirisha sana, naamini hata ww itakufanya ufikiri zaidi

Hii picha imenifikirisha sana, naamini hata ww itakufanya ufikiri zaidi

DON YRN

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
606
Reaction score
1,453
Nimeipata katika pitapita zangu mtandaoni.
3252734363523339647.jpg.png
 
Imebidi nicheke, Ni either una vuta bangi ya Arusha, au Shisha ya kinondoni, chukua hatua, nganga "Haki Elimu"
Kamoja ka wydad kamesha wachanganya tena....akili zimeyumba tayari mtani.
Tafakari upya kwenye hiyo picha then uje ufute hii commment
 
Mana yake n kwamba watu wamesoma lakn hawana tofaut na watu wa zaman mana mifumo yao ya utendaj kaz ni ile ile kama ya wale wa miaka 2000 iliopta licha ya kusoma lkn bado wanahtaj kusimamiwa ili kufanya ktu kile kile ambacho ambao hawajasoma walikfanya wakiwa wamesimamiwa...
Natumai mleta mada utakua umepata mwongozo..
 
Mana yake n kwamba watu wamesoma lakn hawana tofaut na watu wa zaman mana mifumo yao ya utendaj kaz ni ile ile kama ya wale wa miaka 2000 iliopta licha ya kusoma lkn bado wanahtaj kusimamiwa ili kufanya ktu kile kile ambacho ambao hawajasoma walikfanya wakiwa wamesimamiwa...
Natumai mleta mada utakua umepata mwongozo..
Bado watu ni watumwa licha ya kupata elimu kubwa. Wameendelea kuwa watumwa kwa watawala
 
Umeielewa nini hiyo picha? Haina cha kufikirisha, ipo "straight forward".

Mimi nilichoelewa ni kuwa utumwa ulikuwepo na bado upo na unaendelea licha ya watu kuvishana vilemba vya ukoka.
Ewaaa, ila mm sipendi watu wa humu wanavyokuita "bibi ajuza", sipendi kwa kweli.
 
Back
Top Bottom