Hii picha imepigwa vipi? Mbona haieleweki?

Hii picha imepigwa vipi? Mbona haieleweki?

Editing iliyotumika hapa ni editor ame-imagine hayo maandishi yameandikwa kwenye surface ya kioo angavu (transparent mirror.) (sio hivi vya kujitizamia vinavyoakisi mwanga no))

Alieandika hayo maandishi alikua upande wa pili wa kioo kama utasimama angle ya pili ya kioo na kutazama maandishi katika hiko kioo basi yatasomeka vyema kabisa

Sasa huyo dada kaenda Nyuma ya kioo, ambapo ndio hapo alipo Sasa ni nyuma ya kioo then akapiga picha,

Na hii picha ni edit kwasababu kiuhalisia maandishi yapo ukutani na sio kwenye kioo,.

Kwenye tools za kuedit ni una press tu mirror effects simple.
Hiyo ni setting ya selfie camera tu mzee wala hakuna editing hapo..

Angalia hapo chini kwenye picha hicho kipengele kimeandikwa "save selfie as previewed"
Screenshot_20240214-203318.png
 
Sawa sawa mkuu kumbe ipo hata kwenye camera settings...

Mimi nimeelezea manually kua alie design hiyo effect ya ku-save selfie as
Previewed au Mirror effect alifikilia namna hiyo apo niliyoelezea, ndio aka-programme hicho kipengele.

Kuna baadhi ya application/program za kueditia picha katika simu zina vipengele kadhaa, lakini moja ya hivyo vipengele ni kinaitwa mirror uki-apply tu katika picha picha inageuka (mirror image)
Kwenye tools za kuedit ni una press tu mirror effects simple.
_20240214_225406.JPG
 
Back
Top Bottom