Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Huoni ni mjamzito?Hii ni bongo??if yes naombeni nimuweke ndani huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni ni mjamzito?Hii ni bongo??if yes naombeni nimuweke ndani huyu
Kwani picha si amepigwa mtu [emoji16][emoji16]kwa kumuona kwa picha tu?
Mbona hawafi kwa njaa?Wanatuchanganya sana aisee. Serikali ifanye juhudi iwajazie marupurupu. Mshahara hautoshi jamani
Asante kwa taarifa, kikao cha pili lini na wapi?Tazameni hapo ubaoni. Ina maana mwalimu anatumia shoto kuandika? Mola atusaidie tuView attachment 2902065
TygaDhamira yako, inamcholesha mwenzako,
If doesn't make money, then it doesn't make sense.
Naona umeamua kumpost Hannah leo asante tumemuonaKujaza server tu 😏😏😏View attachment 2902084
Jibu la picha lipo kwenye sikio la upande wa kulia chini ya heleni ambapo ubao hauonekani kulingana na upana wake.Tazameni hapo ubaoni. Ina maana mwalimu anatumia shoto kuandika? Mola atusaidie tuView attachment 2902065
Sawa hawafi kwa njaa, ila madeni kwa Mangi yanakuwa mengi kiasi cha kuwachanganya akili zaoMbona hawafi kwa njaa?
Nakuja bibie🤣🤣🤣kuniona tu haitoshi mkuje PM.
Hiyo ni setting ya selfie camera tu mzee wala hakuna editing hapo..Editing iliyotumika hapa ni editor ame-imagine hayo maandishi yameandikwa kwenye surface ya kioo angavu (transparent mirror.) (sio hivi vya kujitizamia vinavyoakisi mwanga no))
Alieandika hayo maandishi alikua upande wa pili wa kioo kama utasimama angle ya pili ya kioo na kutazama maandishi katika hiko kioo basi yatasomeka vyema kabisa
Sasa huyo dada kaenda Nyuma ya kioo, ambapo ndio hapo alipo Sasa ni nyuma ya kioo then akapiga picha,
Na hii picha ni edit kwasababu kiuhalisia maandishi yapo ukutani na sio kwenye kioo,.
Kwenye tools za kuedit ni una press tu mirror effects simple.
Kwenye tools za kuedit ni una press tu mirror effects simple.