Hii picha ni ya leo? Basi Yanga na Al Hilal wanachezeana michezo ya kitapeli

Hii picha ni ya leo? Basi Yanga na Al Hilal wanachezeana michezo ya kitapeli

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Leo mchana niliona tweet kwenye page ya Al Hilal kwamba maofisa wake WATATU wanakuja Dar es Salaam kuweka mazingira sawa, nilisahau ku i capture na usiku huu siioni, nafikiri ipo deleted.

Kilichonistua ni tweet yao mpya kwamba afisa wao (mmoja) kafika DSM na kapokelewa na Injinia Hersi. Katika experience ya kufatilia sijawahi kusikia mtu anayetangulizwa kuweka mambo sawa anapokelewa na mwenyeji, maana hii siyo official arrival ya team ninachojua huwa wana report kwenye chama cha soka husika.

Sasa kama ni ya leo kweli, basi Injinia Hersi kacheza kama pele ku pre empty madai ya ajabu yatakayotokea kama wakifungwa , kumbuka simba zilivyopostiwa picha za hamis kisiwa akiwa na afisa balozi wa south africa akiwapokea orlando pirates usiku wa manane siku mbili kabla ya mechi kule South Africa walisema ni photoshop sababu waliamini maneno ya kocha wao kwamba hawakupokewa airport.

Ila bado naamini huyo jamaa hajaja mwenyewe na bado najiuliza kama kaja kuweka mambo ya hotel, usafiri sawa na mengineyo kwa nini akubali kupokewa na Hersi, ina maana walitoa taarifa kabla? Hapa kuna chezo zito sana.



hilal 1.JPG
 
Ookey sawa. Ila kwani kuja kwao kuna ubaya?au mi ndo sielewi
siyo ubaya ila siyo kawaida wanaopokelewa ni team inapowasili na kupewa bus na team mwenyeji na mara nyingi huwa wanakataa mabasi hayo sababu mtangulizi anakuwa kesha arrange usafiri, chakula,maji na hotel hata ikibidi uwanja wa mazoezi
sasa hawa kwa nini watoe taarifa na kupokelewa? hapo naamini kuna maafisa wawili walikuwa off radar yaani yanga watajua kaja jamaa mmoja tu maana usiniambie kwamba yanga hawatafatilia jamaa wamefikia hotel gani na arrangments zao nyingine
Point yangu ni: wanachekeana tu kinafiki subiri mechi iishe haswa al hilal apigwe usikie visingizio sasa ndiyo maana nasema kama picha ni ya leo hongera kwa Hersi maana keshapangua fitna ya kwanza, waisambaze tu mitandaoni ionekane jamaa walikuwa treated vizuri maanaa hakuna watata kama hawa wasudan
 
siyo ubaya ila siyo kawaida wanaopokelewa ni team inapowasili na kupewa bus na team mwenyeji na mara nyingi huwa wanakataa mabasihayo sababu mtangulizi anakuwa kesha arrange usafiri, chakula,maji na hotel hata ikibidi uwanja wa mazoezi
sasa hawa kwa nini watoe taarifa na kupokelewa? hapo naamini kuna maafisa wawili walikuwa off radar yaani yanga watajua kaja jamaa mmoja tu maana usiniambie kwamba yanga hawatafatilia jamaa wamefikia hotel gani na arrangments zao nyingine
Point yangu ni: wanachekeana tu kinafiki subiri mechi iishe haswa al hilal apigwe usikie visingizio sasa ndiyo maana nasema kama picha ni ya leo hongera kwa Hersi maana keshapangua fitna ya kwanza, waisambaze tu mitandaoni ionekane jamaa walikuwa treated vizuri maanaa hakuna watata kama hawa wasudan
Aah sawa nakuelewa mkuu nimekupata vizuri kabisa.
 
Aah sawa nakuelewa mkuu nimekupata vizuri kabisa.
wanawachezea yanga na kujifanya njoo mtupokee wakijifanya mafala wakati wana uzoefu na mafitna ya soka la afrika na wanajua kila kitu ibenge alichoambiwa na kina mwinyi zahera na kina mwakalebela kuhusu simba/tanzania kwamba ni sehemu hatari kwa fitna
So,haiwezekani eti akawa amekuja mmoja kizembe hivyo..lakini pia ni ushndi kwa yanga kama hii picha wakiitumia kwa propaganda kabla ya mechi sababu hao jamaa wakipigwa watatoa lawama za kila aiana
 
MAJOR GENERAL hawezi kuwa muoga muoga wa fitna za mpira
 
MAJOR GENERAL hawezi kuwa muoga muoga wa fitna za mpira
ukifatilia tweets za mashabiki wao hawana imani na team yao kiukweli haswa baada ya mechiya jana lubumbashi, wanaihofia sana yanga na leo waka tweet kwamba ibenge atakuwa anaaingalia mechi ya yanga vs ruvu shooting

Jamaa wanajifanya mafala yaani kwamba ibenge alikuwa hajawafatilia siku zote hizo?
 
ukifatilia tweets za mashabiki wao hawana imani na team yao kiukweli haswa baada ya mechiya jana lubumbashi, wanaihofia sana yanga na leo waka tweet kwamba ibenge atakuwa anaaingalia mechi ya yanga vs ruvu shooting

Jamaa wanajifanya mafala yaani kwamba ibenge alikuwa hajawafatilia siku zote hizo?

Yanga timu ipo vizuri na ina chemistry..

Wasi wasi wangu tu yanga tutacheza vizuri juani saa 10.

Maana mechi za usiku yanga inacheza vizuri na kwa ku relax sana. Ila mechi za kwenye jua timu inapunguza makali
 
unadhani ruvu hao uwape milions 5 wapagawe? kuna njemba lime invest usd millions 12 hapo la saud arabia, ibenge akitolewa hatua watamla kiboga walahi
Ni lile njemba lililomwaga pesa pale pyramids fc
 
Leo mchana niliona tweet kwenye page ya Al Hilal kwamba maofisa wake WATATU wanakuja Dar es Salaam kuweka mazingira sawa, nilisahau ku i capture na usiku huu siioni, nafikiri ipo deleted.

Kilichonistua ni tweet yao mpya kwamba afisa wao (mmoja) kafika DSM na kapokelewa na Injinia Hersi. Katika experience ya kufatilia sijawahi kusikia mtu anayetangulizwa kuweka mambo sawa anapokelewa na mwenyeji, maana hii siyo official arrival ya team ninachojua huwa wana report kwenye chama cha soka husika.

Sasa kama ni ya leo kweli, basi Injinia Hersi kacheza kama pele ku pre empty madai ya ajabu yatakayotokea kama wakifungwa , kumbuka simba zilivyopostiwa picha za hamis kisiwa akiwa na afisa balozi wa south africa akiwapokea orlando pirates usiku wa manane siku mbili kabla ya mechi kule South Africa walisema ni photoshop sababu waliamini maneno ya kocha wao kwamba hawakupokewa airport.

Ila bado naamini huyo jamaa hajaja mwenyewe na bado najiuliza kama kaja kuweka mambo ya hotel, usafiri sawa na mengineyo kwa nini akubali kupokewa na Hersi, ina maana walitoa taarifa kabla? Hapa kuna chezo zito sana.



View attachment 2376316
Ww shoda yako.ni wapokelewe. Si ndio ? Wengine tuna subiri.tu matokeo ya jumla ...hawa jamaa msiwafanyie wema mtaenda kulizwa kule Sudan
 
Mleta mada ni poyoyo anaandika ushuzi ambao hata usome Mara mia haueleweki.
 
Mleta mada ni poyoyo anaandika ushuzi ambao hata usome Mara mia haueleweki.
ni sawa nikupe kitabu cha A MONK WHO SOLD HIS FERRARI wewe imbecile uliyozoea kusoma riwaya za MWAJUMA MTOTO WA KWA MPALANGE unadhani utaelewa kweli?
Ngoja nikurahisishie maana ubongo wako ni mdogo sana, you are a small fish in a big pond
*****AL HILAL WAMELETA MA SPY WA 3, ALIYEPOKELEWA OFFICIALLY NA YANGA NI MMOJA TU(wawili wako off radar za yanga)
*****AL HILAL SIYO WAGENI WA FITNA ZA SOKA AFRIKA(WAO WENYEWE WANA ROHO MBAYA SANA)WANACHOFANYA KWA SASA NI KUJIFANYA MABOYA HADI KU REPORT UJIO WAO WA SPY WAPOKELEWE NA MWENYEJI(wanajua kila kitu kuhusu TZ yakiwemo Ibenge aliyoambiwa na kina mwinyi zhera.mwakalebela, msolla enzi hizo za kuwapokea wageni airport)
******TEAM ZIKITANGULIZAGA MTU NI KUWEKA SAWA MAMBO YA HOTEL,CHAKULA,MAJI,USAFIRI, VIWANJA VYA MAZOEZI HIVYO HUWA NI ZA SIRI SANA
*****PICHA HII NI USHINDI KWA HERSI NA YANGA SABABU HAWA HILAL WAKIFUNGWA LAZIMA WALALAMIKE HUJUMA HII PICHA ITATUMIKA KUONYESHA WALIKUWA TREATED VIZURI
HATA WALIPOPIGWA 2-1 ETHIOPIA WALILALAMIKA SANA INGAWA NI KWELI MWAMUZI ALIWANYONGA...... ST GEORGE WALIFUNGA GOLI LA PILI KWA MTU ALIYESHIKA NA KUCONTROL MPIRA KWA MKONO INGAWA NAO SUDAN ALHILAL WALIPENDELEWA PENALT

****kama hujaelewa tena ndugu yangu basi uwe unachagua nyuzi za kusoma
 
Back
Top Bottom