Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

huna akili wewe nae ni bwabwa
 
Kwa hiyo auntie umeamua kabisa kucome out of closet na kuandika hadharani unaliwa?
Lakini nakumbuka ulisema bikra wewe?
Haya umeanza lini hayo mambo?
Kwa comment hii,acha nirudi page kwa page nione

hizi simulizi zimeanzia wapi,sina kazi wapendwa leo.
 
Reactions: amu
Tena Anakula wale BATA wakubwa wakubwa sio Vi bata maji unaambiwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kaamua tu kujiachia amechoka kujibana bana.
Ukimkuta sasa amekibinua kitako chake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kasumba ya binadamu wengi wanaoamini utamaduni wa kikundi fulani cha watu ni zaidi ya haki binafsi za watu wengine hata kama haki hizo hazina madhara kwao.
Watu huko wanatukana kama wamerukwa na akili, yaani wana hasira na maisha ya wengine wanasahau ya kwao, hasa Watanzania sijui kwanini?
Nacheka tu na comments.
 
[emoji304][emoji2524]‍[emoji304][emoji304][emoji2524]‍[emoji304][emoji304][emoji2524]‍[emoji304]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…