City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Hili swali mkuu huwa wanakwepa sana kulijibu, blabla nyingi. Niliwahi muuliza member mmoja humu ali-muteKwamba hata mkeo au mwanao akiwa anafukuliwa mtaro unamwacha tu kwa vile ni maisha binafsi si ndio hivyo?
Limejibiwa vilivyo haswaah, tazama vizuri.Hili swali mkuu huwa wanakwepa sana kulijibu, blabla nyingi. Niliwahi muuliza member mmoja humu ali-mute
.
Wanaume kila siku kuhusudu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile, tena wanajipiga kifua na kujisifu au kusifia sehemu ya nyuma,Mifiraji na inapigia debe ufiraji.Then wanaumizwa na kijambio cha mwenzao.
Wanawake hapa inabidi tusimame maana mambo yanabadilika kwa kasi ya ajabu.Wanaume hawautaki uanamme na majukumu yake kadri siku zinavyoenda.
AiseeeeeeHilo la kuhusu kudate kindugu lipo tangu enzi na enzi, na km wana ndugu kwa akili na utashi wao wenyewe wameamua kuwa wapenzi, mie ina ni athiri vipi?
Ni aina ya maisha ya faragha zao walizoamua kua nazo, sina uhuru wala ruksa kuingilia, hata km si sahihi kwa mtazamo wa kawaida hivyo inabaki kuwa nadharia tyuuh.
Huyo mwanangu akiniuliza kuhusu Gayism ntamuweka wazi kwa kila kitu kuhusu suala hilo, sasa itakua ni uamuzi wake ktk fikra na mtazamo wake.
Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, sitaweza kupinga au kuzuia kwani ni uhuru wake kufuata mlengo wa hisia zake kwenye faragha aipendayo. Na haitabadilisha uhalisia kua ni mwanangu hata km sitakua the same juu ya hilo suala. Still ts his own life.
Dunia ni Duara.
Two wrong can't make it rightWanaume kila siku kuhusudu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile, tena wanajipiga kifua na kujisifu au kusifia sehemu ya nyuma,
Ila wakisikia au ikiwa kuhusu Gayism wanachefukwa na ku hemkwa kwa ghadhabu kana kwamba ni suala geni au la ajabu. Hivi kinyeo cha kiume na kike kina tofauti gan?
na almost wengi wao wanaopinga masuala ya gayism ni wafiraji haswaah, hiyo yote ni kujihami msieeeeew zao.
Nkae kimya tyuuuh nisije kulipua [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] watu wakaikimbia JF.
Hata mimiAiseeeeee
Kwahiyo wewe ikiwa mtu kaamua kufanya kitu kwa utashi wake mwenyewe wewe huna shida kabsaaaaa........kiufupi haikuhusu?
Haijalishi ni kitu gani ilimradi hakikuathiri wewe
Hilo sio swali, ndo jibu lenyeweeeh.Aiseeeeee
Kwahiyo wewe ikiwa mtu kaamua kufanya kitu kwa utashi wake mwenyewe wewe huna shida kabsaaaaa........kiufupi haikuhusu?
Haijalishi ni kitu gani ilimradi hakikuathiri wewe
Basi sawaHilo sio swali, ndo jibu lenyeweeeh.
Mwanao akiwa anazibuliwa mtaro kwako ni fresh tu maana ni maisha yake?Stakagi mambo ya kuniumiza kichwa, kila mtu awe apendavyo hapa duniani, mi I don't care kweli
Kwaiyo kwako ni sawa tu? Hujaona tatizo apo kila kitu kiko sawa?Waliopandwa na hasira ukifatilia wanaume ni wengi afu wafiraji.Mwachieni mtu kijambio chake.Ombea familia yako.
DUNIA SIMAMA NISHUKE [emoji44] aya yanayo endelea sitak kuyaona mmHilo la kuhusu kudate kindugu lipo tangu enzi na enzi, na km wana ndugu kwa akili na utashi wao wenyewe wameamua kuwa wapenzi, mie ina ni athiri vipi?
Ni aina ya maisha ya faragha zao walizoamua kua nazo, sina uhuru wala ruksa kuingilia, hata km si sahihi kwa mtazamo wa kawaida hivyo inabaki kuwa nadharia tyuuh.
Huyo mwanangu akiniuliza kuhusu Gayism ntamuweka wazi kwa kila kitu kuhusu suala hilo, sasa itakua ni uamuzi wake ktk fikra na mtazamo wake.
Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, sitaweza kupinga au kuzuia kwani ni uhuru wake kufuata mlengo wa hisia zake kwenye faragha aipendayo. Na haitabadilisha uhalisia kua ni mwanangu hata km sitakua the same juu ya hilo suala. Still ts his own life.
Dunia ni Duara.
Nenepa tu kwa stress sio kesi japo haichekeshiHilo la kuhusu kudate kindugu lipo tangu enzi na enzi, na km wana ndugu kwa akili na utashi wao wenyewe wameamua kuwa wapenzi, mie ina ni athiri vipi?
Ni aina ya maisha ya faragha zao walizoamua kua nazo, sina uhuru wala ruksa kuingilia, hata km si sahihi kwa mtazamo wa kawaida hivyo inabaki kuwa nadharia tyuuh.
Huyo mwanangu akiniuliza kuhusu Gayism ntamuweka wazi kwa kila kitu kuhusu suala hilo, sasa itakua ni uamuzi wake ktk fikra na mtazamo wake.
Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, sitaweza kupinga au kuzuia kwani ni uhuru wake kufuata mlengo wa hisia zake kwenye faragha aipendayo. Na haitabadilisha uhalisia kua ni mwanangu hata km sitakua the same juu ya hilo suala. Still ts his own life.
Dunia ni Duara.
PoaahBasi sawa
Kila mtu ana haki ya kuamua maisha yake binafsi yawe vipi kadri ya matakwa yake.
Wala hakuna kupangiana, acha muhusika afurahie chaguo pendwa na hitaji ktk maisha yake.
Yaan wa TZ ni watu wa ajabu sana, wanataka kupangia maisha ya mtu binafsi, duuuuh
Watu huko wanatukana kama wamerukwa na akili, yaani wana hasira na maisha ya wengine wanasahau ya kwao, hasa Watanzania sijui kwanini?
Nacheka tu na comments.
Kitendo cha kutaka wote muone utamu wa mwanamke ndio kupangiana maisha huko.... amechagua njia yake inayompa utamu.
acheni uchawi, picha siyo moyo wala roho, kuna viongozi wapo makanisanikila jumapili kumlilia mungu ila mikono yao imejaa damu na shingoni wamevaa misalaba huku wakiubiri chuki dhidi ya kabila flani na watu wa kanda flani.Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family.
Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia tofauti?
Kwa muda mrefu zimekuwepo taarifa za mmoja wa wanakikundi hiki cha muziki kutoka Kenya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mmmmh!!!!.Kila mtu ana haki ya kuamua maisha yake binafsi yawe vipi kadri ya matakwa yake.
Wala hakuna kupangiana, acha muhusika afurahie chaguo pendwa na hitaji ktk maisha yake.
Anaeumia ndo atakonda, hahahah mie naishi maisha yangu binafsi. Wala sina mda na maisha binfsi ya mtu mwingine.Nenepa tu kwa stress sio kesi japo haichekeshi
Kituo kipo karibu jitayalishe, andaa nauliDUNIA SIMAMA NISHUKE [emoji44] aya yanayo endelea sitak kuyaona mm