Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwahiyo km nikiwa m1 wao? Huhuhuh maadam kwan wee una athirika kipi? Duuuuh sikujua nawee ni m1 kati ya watu ambao wana mkanganyiko wa fikra na mtazamo. Ila sorry relaaax n enjoy ur own life.
Mbona unajihami sana, kakutukana? Au kakufokea? Alikuwa anampa taarifa tu kuwa wewe ni mmoja wao ila ulivyokuja juu unaonekana kabisa unateseka
 
Mbona unajihami sana, kakutukana? Au kakufokea? Alikuwa anampa taarifa tu kuwa wewe ni mmoja wao ila ulivyokuja juu unaonekana kabisa unateseka
Mie hata sijamtusi, wala sijajihami just namueleza tyuuuh, pengine umeelewa tofauti. Na wala siteseki by the way.

Na sio ajabu hata km Jf nzima ikitangazwa wala sioni tatizo, labda umeelewa vibaya, but sorry km ntakua nmekukera. Relaaax dea
 
Mie hata sijamtusi, wala sijajihami just namueleza tyuuuh, pengine umeelewa tofauti. Na wala siteseki by the way.

Na sio ajabu hata km Jf nzima ikitangazwa wala sioni tatizo, labda umeelewa vibaya, but sorry km ntakua nmekukera. Relaaax dea
Umesema wewe ukiwa mmojawapo yeye anaathirika vipi, kwani kasema anaathirika? Ni sawa na mtu amwambie mwenzie kuwa Magufuli ni rais wa Tanzania then uanze kumwambia Magu akiwa rais ye anaathirika vipi? Sijui unapata point yangu???
 
Mifiraji na inapigia debe ufiraji.Then wanaumizwa na kijambio cha mwenzao.
Wanawake hapa inabidi tusimame maana mambo yanabadilika kwa kasi ya ajabu.Wanaume hawautaki uanamme na majukumu yake kadri siku zinavyoenda.
Si unashadadia wapigwe miti afu unataka wasimamie majukum yao?
 
Umesema wewe ukiwa mmojawapo yeye anaathirika vipi, kwani kasema anaathirika? Ni sawa na mtu amwambie mwenzie kuwa Magufuli ni rais wa Tanzania then uanze kumwambia Magu akiwa rais ye anaathirika vipi? Sijui unapata point yangu???
Ouk bas sawa nimekuelewa.
 
Kila mtu ana haki ya kuamua maisha yake binafsi yawe vipi kadri ya matakwa yake.
Wala hakuna kupangiana, acha muhusika afurahie chaguo pendwa na hitaji ktk maisha yake.
Ety Bidada"" Ndio Abong'olewe kweli[emoji144]
 
NO. Tuishie hapa maana nishajua ni nani nae bishana nae
Hahahah umeshindwa kujibu kwa hoja, umeishia kuhitimisha kwa fikra na mtazamo wako binafsi, pasipo kuthibitisha unachokisimamia,

Masuala mtambuka km haya hayajadiliwi kwa mhemko, lazima utulize akili na kichwa ili kudadavua jambo husika.

Relaaaaaax sasa lol
 
Kwahiyo huyo unae msema n punga akichanwa hicho ulichokitaja wee una athirika vipi? Ishi maisha yako binafsi, ya wengine hayakuhusu khaaaah.

Mnafuatilia San faragha za watu, kwan zenu nani anawafuatilia?
Poleeh San kwa kuhemkwa kwa jambo usilohusika nalo, kaa kwa kutulia, hakuna kupangiana, enjoy ur life choice.

Dunia ni Duara.
Mkuu yule shemeji yako aliyekurukisha vichurachura na dada yako wanajua kwamba unafumuliwa marinda??
 
Hahahah umeshindwa kujibu kwa hoja, umeishia kuhitimisha kwa fikra na mtazamo wako binafsi, pasipo kuthibitisha unachokisimamia,

Masuala mtambuka km haya hayajadiliwi kwa mhemko, lazima utulize akili na kichwa ili kudadavua jambo husika.

Relaaaaaax sasa lol
[emoji38][emoji38]Kwa hiyo na wewe unaona unatoa hoja kabisa??? [emoji23][emoji23] utopolo mtupu pole sana.
 
Polisi mahali popote ulimwenguni wapo kwa ajili ya kulinda usalama wa raia na mali zao lakini pamoja na uwepo wao matukio ya kutisha na ya ajabu yanatokea hivi unafikiri ni uzembe wa hawa polisi ama ni nini?
Na nashukuru Mungu koo yetu haina hayo mambo na bora nikapigwe moto wa milele Jehanum kuliko kufuga shoga

Hata niwe kizee cha miaka 100 sitaruhusu atokee shoga kwenye koo yangu! Kifo na haki yake
 
haha kuna bar kinondoni opposite na mahakama kuu kitengo cha kazi,

Mmiliki ni gay na wahudumu pia,

kuna siku napita nawakuta wanasukana aisee.
 
Back
Top Bottom