Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hill ni la kumuuliza mkuu?wali huyohivi wewe hua ni Ke au Me?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hill ni la kumuuliza mkuu?wali huyohivi wewe hua ni Ke au Me?
Eti swala lako binafsi .Kujua au kuto kujua hilo ni suala langu binafsi, haliwahusu na wala halihusiki hapa.
Narudia tena akili ni kitu cha kutunza mnooo. HahahaSasa nani hana akili? Hivi unajua nini umeandika? Poleeeeh sanaah
Kuna mgombea mmoja wa urais tz kasema na BBC HARD TALK kuwa atawatetea, kuwalinda, na kufuta sheria zote zinazowazuia watu wa jinsia moja kupelekana kwampalange!! kazi kwenu.
Shida sio wewe ni Elimu ya BRNKuna mgombea mmoja wa urais tz kasema na BBC HARD TALK kuwa atawatetea, kuwalinda, na kufuta sheria zote zinazowazuia watu wa jinsia moja kupelekana kwampalange!! kazi kwenu.
Na vikete vyao vichache chache wanajifanga "wazungu wa unga" 0Upo sahihi maeneo hayo ndiko Wana hang out hao unaosema wa mjini mjini.
Kutokea kulia, man-wonan, man-wonan, man-woman, man-man, tunaweza kuconclude kuwa huyo wa kushoto kabisa ni mali ya huyo wa pili kutoka kulia.Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family.
Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia tofauti?
Kwa muda mrefu zimekuwepo taarifa za mmoja wa wanakikundi hiki cha muziki kutoka Kenya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Sawa haina shida..Kujua au kuto kujua hilo ni suala langu binafsi, haliwahusu na wala halihusiki hapa.
Una shida sana niku quote kwa kipi labda? Kwani unataka kunisaidia na wee kupigwa miti? Maan unateseka mno.Usirudie kuniquote tena kwenye uzi wowote..sawa?
Kapigwe miti huko wewe dada mvulana
Ongeza sauti booh lol.Lol, hua nina wasiwasi na mitungi yenu ya akili kama hua inashuka ujazo au ipo empty kabisa,
Homosexuals hawajaanza karne hii, miaka na miaka walikuwepo na Heterosexuals walikuwepo na dunia ilizaliana na maisha yalisonga,
Matasa na Wagumba walikuwepo karne na karne na wazima walikuwepo na dunia ilisonga, (umepata point yangu au niongeze sauti?[emoji851])
1 kati ya hizo.hivi wewe hua ni Ke au Me?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeh sanaah lolMbavu zangu mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanikoshaga hapo tu, uzi nisingeuonea raha kama usingekuwepo,
Dunia ina mambo mengi ya kukabiliana nayo ajabu watanzania wapo busy kunusa vinyeo vya watu na kuanza kuzungumza fulani hivi fulani vile, lol
Hua nashangaa sana mada kama hizi zinaletwa na hao wapinga ushoga na wachangiaji hua wale wale wakereketwa halafu walivyokosa haya usoni mwao wanaitana kusema "lazima fulani na fulani ungewakuta kwa huu uzi" wanajisahau na wenyewe hua hawakosekani katika nyuzi hizo hizo, teh
Neno unafki lilianzia Tanzania walai.
Kuna vide moja jamaa anasema, let them be, and they leave more ladies for us to enjoy. Na kile kiingereza chake cha Uganda ndio kinanivunja mbavu kabisa.
Wow! Nitawatembelea, safi sana.
Lol, hua nina wasiwasi na mitungi yenu ya akili kama hua inashuka ujazo au ipo empty kabisa,
Homosexuals hawajaanza karne hii, miaka na miaka walikuwepo na Heterosexuals walikuwepo na dunia ilizaliana na maisha yalisonga,
Matasa na Wagumba walikuwepo karne na karne na wazima walikuwepo na dunia ilisonga, (umepata point yangu au niongeze sauti?[emoji851])
Poleee San maan huna hoja na hujui nini kinazungumzwa, umekumbwa na mhemko usio na mantiki hata kidogo.Naona wasagaji tumewagusa mmewaka kama mbogo.hahaha
Sasa kama ni private yako kwanini mtutangazie hapa huoni mnaweka public?
Sasa mnatulaumu nini ikiwa mnataka wazi tuone ni kawaida wewe kufukunyuliwa kwa mpalange? Wazazi wako kama wangejua unafukunyuliwa kisogon wangekulaani.
LA mwisho nipe huo uthibitisho kwamba dunia ni duara?
Dawa inawaingia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeehNarudia tena akili ni kitu cha kutunza mnooo. Hahaha
Nina wasi wasi na ubongo wako km uko timamu wallah, hivi mbona sioni mantiki yako nn au unasimamia hoja ipi?Eti swala lako binafsi .
Wakati umeshatuambia unafukunyuliwa kwa mpalange na ndo mtetezi .
Kama vipi ishi maisha yako unayosema mbona sasa unaaminisha umma kuwa nyie kutafunwa visogoni ni kawaida?
Kaa kimya kama ushaoza usitake wengine waoze kama wewe
Woooooooooop hapo sasa, [emoji833] n [emoji833], na [emoji1665] n [emoji1665]. UmemalizaaaaaahWanahaha na ushoga hawa kuliko mtu yeyote yule!
Wao ndio wanaibua habari za ushoga halafu wanasema mashoga wanasambaza ushoga! Very ironical! Hahaha!
Kwanza nilikuwa sijui kabisa kuwa hao ni mashoga ndio naelezwa sasa hivi!
Watu wameweka mambo yao binafsi katika faragha zao, lakini hawa mashoga wa humu kutwa hawaishi kuwaanika hadharani!!
Kimsingi wao ndio wasambazaji wa ushoga, wasitupe lawama kwa wengine!
Yeaaah n relaaaaaxSawa haina shida..