Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
- Thread starter
- #61
Yani the woldi is not feyaHalafu sisi huenda tunadata na hiyo pisi kumbe kuna muhuni alishawahi kuila kimasihara !! Nyie haya maisha 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani the woldi is not feyaHalafu sisi huenda tunadata na hiyo pisi kumbe kuna muhuni alishawahi kuila kimasihara !! Nyie haya maisha 😀😀
Vipi mkuu unamjua huyo hurulaini..?🤣🤣
Ukute ndio wewe..ebu jitanabaishe[emoji3][emoji3] Nalala zangu mie
Hapana, sio mimi.Ukute ndio wewe..ebu jitanabaishe
Joka la KibisaNinafanya nae kazi ofisi moja mkuu ila nishamzoea
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Lakini ice queen itakufaidia nini kukataa ikiwa ni wew...pm iko wazi karibu ukiri kama ni wewHapana, sio mimi.
[emoji23][emoji23] wee hata usihangaike, sio mimi bwana.Lakini ice queen itakufaidia nini kukataa ikiwa ni wew...pm iko wazi karibu ukiri kama ni wew
Yani mpaka unaanza kusema hivi kwanini adamu alikua tunda la mti wa kati mpaka tutakufa tuache vitu vizuriIla bhana kuna mamwanamke mazuri ukiliona tu mpaka mapigo ya moyo yanabadilika
Oooh sawa[emoji23][emoji23] wee hata usihangaike, sio mimi bwana.
Mkuu sasa huyu wa mchongo huyu. Sura gani imekaa kama sanamu,imechongwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we jamaa huna akili....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haahaa mkuu lengo lako nini kwenda na msuli na kobazi
Ambu mwed ni anii??Harikaa avae m-bora huu ni mwedi
[emoji23][emoji23][emoji23]Anaitwa Fauzia. Yea ni teller hapo.
Digits zake ninazo nikijifanya nataka mkopo kuna siku alikua Enquiries.
Kwakifupi uyo binti anauza uchi[emoji23][emoji23][emoji23]
Awap! Rosemary, ni kataratibu sana, kana lugha ya uteja! kanapenda kuvaa short skirt, kakivaa gauni linakuwa limeka tight hadi kanachora mwili, rangi ya whitish olive! Kalisomea IFM na kuna muhuni alikuwa anakachakata saana, sema mhuni alikuwa anatembea na funguo uchwara za gari za mchongo ila boom lake liliteketea kinoma! Nilijaribu kukaomba det kakanambia kana mtu, nikakaomba one night stand kakasema kama nina 600k ni sawa! Nikapita kushoto, boom lenyewe laki 5 halafu nigegede usiku mmoja ili miezi yote nile nini? Pumbz au?
Kapo Ubungo barabara ya Ubungo Plaza, sometimes kanachil Mawasiliano mida ya saa 2 usiku, nishawahi kukakuta Cheka tu VVIP kanatafuna popcorn na njemba moja ina kitambi kizito!
Kako serious na kazi ila ukikaletea utani kana aibu zisizo za kawaida, kanapenda ucheshi! Namba yake niliifuta baada ya kuona kukagegeda ni sawa na ndoto za Abunuasi! Nikaamua nitafute vibinti vya Mburahati tu!