Hii pisi mazee ni hatari

Kwa jinsi mtoto alivo mzuri yule ikiwapendeza uongozi wa JF uandamane hadi pale kuhakiki nnachokisema
 
Unamsifia kimaneno lkn unamsiliba na kumtia ubaya kwa maandishi yako, mfano unasema, "linavyo tembea, linachambia hamira, liko flat, la kitoto,kuliona hilo toto, lime soma" Matumiz ya kianzilishi "Li" huleta tafsiri kwamba kitu hicho au jambo hilo au mtu huyo anaezungumzwa, ni "mbaya,hapendezi, amekaa dude flani hivi, yupo rough, goigoi, n.k ,
Tumia lugha nzuri kuelezea vitu vzuri.
 
HaHaa yani ilo neno "li" ni kiwakilishi cha neno "toto zuri' ....ukiliona ilo toto utaelewa nini namaanisha
 
Bila picha mzee unakuwa unaleta hadith za sungura na fisi apa
 
A typical woman in Dar es salaam is either dealing with a sponsor, baby daddy issues or friends with benefits arrangement. Some deal with all the three.
 
Atakuwa ni Fau huyo...ana mwaka wa 8 huu hajui ladha ya ugali, hajawahi kutembea zaidi ya mita 25 kwa miguu...! Hiyo shape ni ya Gym nzuri na kila baada ya Gym anamalizia na zoezi la kuswim then simple body massaging...!

Kifupi weekend anashinda SPA na anakula mlo kamili, kizuri gharama.

Jipange [emoji23]
 
IFM na TIA, GPA haizidi 3,likiomba kazi lazima lipewe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…