Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooh kwahiyo kaka bora niwe mpenzi wake,,ila mpenzi mtazamajiAtakuwa ni Fau huyo...ana mwaka wa 8 huu hajui ladha ya ugali, hajawahi kutembea zaidi ya mita 25 kwa miguu...! Hiyo shape ni ya Gym nzuri na kila baada ya Gym anamalizia na zoezi la kuswim then simple body massaging...!
Kifupi weekend anashinda SPA na anakula mlo kamili, kizuri gharama.
Jipange [emoji23]
Sure mkuu yule hawezi kua alisoma udom vumbi la kule lingempa kansa mtoto wa watu.....na kwenye ushindani wa soko la ajira anachohitaji yule ni aitwe kwenye interview tu..akifika tu.. kazi kapataIFM na TIA, GPA haizidi 3,likiomba kazi lazima lipewe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee..mbona mdogo yuleNi mama mkwe wangu huyooo.
Kwa maelezo haya mkuu utakua unamjua vizuri...eti anakula mlo kaniki😃😃😃....pili asante kwa kuweza kumdadavua huyu babyface vizuri Ili at least ata wenzangu walioko kazuramimba wapate pichaAtakuwa ni Fau huyo...ana mwaka wa 8 huu hajui ladha ya ugali, hajawahi kutembea zaidi ya mita 25 kwa miguu...! Hiyo shape ni ya Gym nzuri na kila baada ya Gym anamalizia na zoezi la kuswim then simple body massaging...!
Kifupi weekend anashinda SPA na anakula mlo kamili, kizuri gharama.
Jipange [emoji23]
😂😂😂😂😂 pambaffff sanaKwa jinsi mtoto alivo mzuri yule ikiwapendeza uongozi wa JF uandamane hadi pale kuhakiki nnachokisema
Aiseeeeee 😥Atakuwa ni Fau huyo...ana mwaka wa 8 huu hajui ladha ya ugali, hajawahi kutembea zaidi ya mita 25 kwa miguu...! Hiyo shape ni ya Gym nzuri na kila baada ya Gym anamalizia na zoezi la kuswim then simple body massaging...!
Kifupi weekend anashinda SPA na anakula mlo kamili, kizuri gharama.
Jipange [emoji23]