Hii ramani inafikirisha sana, Urusi imeshindwa kuparamia haka kanchi

Hii ramani inafikirisha sana, Urusi imeshindwa kuparamia haka kanchi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ama kwa kweli ukubwa sio nguvu ila ujuzi na matumizi ya ubongo, kainchi saizi ya mkoa mmoja wa Urusi kameitoza Urusi kamasi imepoteza majenerali, meli, wanajeshi maelfu na hasara nyingine nyingi mpaka Urusi imeomba msaada Syria na kwingine.

Licha ya hasara yote hiyo, Urusi imeambulia tumiji twa huko mpakani....ovyo sana.

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Ama kwa kweli ukubwa sio nguvu ila ujuzi na matumizi ya ubongo, kainchi saizi ya mkoa mmoja wa Urusi kameitoza Urusi kamasi imepoteza majenerali, meli, wanajeshi maelfu na hasara zingine nyingi mpaka Urusi imeomba msaada Syria na kwingine.
Licha ya hasara yote hiyo, Urusi imeambulia tumiji twa huko mpakani....hovyoo sana.

where-are-ukraine-&-russia.jpg


Vipi kuhusu Kdf imeshindwa na Kakindu kadogo Tu Al Shabbab,ambako hata hakana Javelin,mlrs,APC helicopter,etc kwa miaka kumi sasa?
 
Vipi kuhusu Kdf imeshindwa na Kakindu kadogo Tu Al Shabbab,ambako hata hakana Javelin,mlrs,APC helicopter,etc kwa miaka kumi sasa?
ushawai fika kambi za alshabab ? ukajua silaha zao
 
Ama kwa kweli ukubwa sio nguvu ila ujuzi na matumizi ya ubongo, kainchi saizi ya mkoa mmoja wa Urusi kameitoza Urusi kamasi imepoteza majenerali, meli, wanajeshi maelfu na hasara zingine nyingi mpaka Urusi imeomba msaada Syria na kwingine.
Licha ya hasara yote hiyo, Urusi imeambulia tumiji twa huko mpakani....hovyoo sana.

where-are-ukraine-&-russia.jpg
Hapo Russia (Tanzania) na Ukraine (Rwanda). You can imagine ka_Rwanda kanaweza kuisumbua Tanzania ?
 
Al Shaabab wale wanafanya guerilla war ndio maana inakuwa ngumu kupambana nao. Anakuja mmoja anauwa watu anatoroka. Trend inaendelea hivyo hivyo.
hujajibu swali langu , umejuaje uhafifu wa silaha bora kwa hao alshabab ?
 
Vipi kuhusu Kdf imeshindwa na Kakindu kadogo Tu Al Shabbab,ambako hata hakana Javelin,mlrs,APC helicopter,etc kwa miaka kumi sasa?

KDF haipigani na Somalia, fahamu hao mazombi wa dini ya mwarabu ni kero la dunia maana hata Somalia yenyewe imejaribu kupigana nao na kuwaua wengi tu ili kuwawahisha wakapewe mabikira, mazombi ya kihivyo hata uwaue milioni, bado wataendelea kuwa kero, maana dhawabu ya mabikira ni tamu sana, sijui kwanini na nyie wafuasi wa mwarabu huwa mnachelewa kujiunga.
 
Hapo Russia (Tanzania) na Ukraine (Rwanda). You can imagine ka_Rwanda kanaweza kuisumbua Tanzania ?

Ndio picha umepatia, yaani siku zaidi ya 100 JWTZ wawe bado wanapambana na tumiji twa mpakani hapo Rwanda, wameshindwa kufika Kigali na wamepoteza wakuu wengi jeshini na maelfu ya wanajeshi na hasara zingine zote, na hadi waanze kuomba usaidizi kutoka kwa mataifa mengine, na pia kufanya usaili wa wanajeshi wapya kwa maelfu.
 
KDF haipigani na Somalia, fahamu hao mazombi wa dini ya mwarabu ni kero la dunia maana hata Somalia yenyewe imejaribu kupigana nao na kuwaua wengi tu ili kuwawahisha wakapewe mabikira, mazombi ya kihivyo hata uwaue milioni, bado wataendelea kuwa kero, maana dhawabu ya mabikira ni tamu sana, sijui kwanini na nyie wafuasi wa mwarabu huwa mnachelewa kujiunga.
Sub-hanallah

Duh!
 
Russia ina ukubwa km² 17.1,Africa ina km² 30.37, Tz ina km² 900k+ na Ukrain ina km² 600k+ ikiwa ndio nchi ya pili kwa ukubwa ulaya baada ya Russia. sijui nlitaka kusema nn

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Kwamba Tanzania ina ukubwa wa kilometa za mraba laki tisa halafu Urusi ina ukubwa wa kilomita za mraba 17?

Hapa tumepigwa
 
Back
Top Bottom