Hii ramani inafikirisha sana, Urusi imeshindwa kuparamia haka kanchi

Hii ramani inafikirisha sana, Urusi imeshindwa kuparamia haka kanchi

hujajibu swali langu , umejuaje uhafifu wa silaha bora kwa hao alshabab ?
Uhafifu!? Wapi nime_comment kuwa wana silaha hafifu! Jaribu ku_quote post yangu niliyo_comment hivyo.

Al shabaab kama yalivyo makundi mengine ya aina yake, wale Boko Haraam, Al qaeda na wengineo, wale wanafanya vita ya kuviziana, haijalishi ubora wa silaha zao. Mfano, wanavamia shule wanaua kisha wanatoroka, wakiwa wanawindwa sana wanapotea. Baadaye mambo yakipoa wanashambulia sehemu nyingine. Somalia na Hata huko Msumbiji ndicho kinachofanyika. Kwa hiyo hapa sio suala la ubora wa silaha. Boko Haraam wanauwa mamia ya watu kwa kuwachinja tu kwa jambia.
 
KDF haipigani na Somalia, fahamu hao mazombi wa dini ya mwarabu ni kero la dunia maana hata Somalia yenyewe imejaribu kupigana nao na kuwaua wengi tu ili kuwawahisha wakapewe mabikira, mazombi ya kihivyo hata uwaue milioni, bado wataendelea kuwa kero, maana dhawabu ya mabikira ni tamu sana, sijui kwanini na nyie wafuasi wa mwarabu huwa mnachelewa kujiunga.
kumbe unajua kbs hampigani na al -shabaab mnapigani na waislamu duniani sasa kivipi ushindwe kujua Urusi hapigani na Ukraine anapigana na NATO (zaidi ya nchi 30) huoni huyo ni mwanaume wa shoka kupigana na nchi 30+?!!!
 
kumbe unajua kbs hampigani na al -shabaab mnapigani na waislamu duniani sasa kivipi ushindwe kujua Urusi hapigani na Ukraine anapigana na NATO (zaidi ya nchi 30) huoni huyo ni mwanaume wa shoka kupigana na nchi 30+?!!!

Tukipigana na waislamu hamtabaki hata mmoja, mumechokoza sana Wakristo kwa kuchinja na kulazimisha huo uzombi wa dini ya waarabu, sema Wakristo huniboa sana kwa kuonyesha unyonge japo wengi wanafuata maandiko maana mumetabiriwa haya mnayoyafanya kwa Wakristo yametajwa, inabidi mvumiliwe, ila mkichokwa sijui itakua vipi.

Na kuhusu huyu Urusi mnayemuabudu, siku akipigana na NATO atafutwa duniani...
 
Hapo kimuonekano ni vita ya Russia vs Ukraine ambayo ingekuwa imeishaisha by now.

Kiuhalisia, vita ni kati ya Russia vs NATO.
Huu mtiti hauishi leo wala kesho.
Kama ndo hivyo basi Sasa wanajeshi wa urusi waliokufa 30,000 wanajeshi wa NATO 0.
 
Ama kwa kweli ukubwa sio nguvu ila ujuzi na matumizi ya ubongo, kainchi saizi ya mkoa mmoja wa Urusi kameitoza Urusi kamasi imepoteza majenerali, meli, wanajeshi maelfu na hasara zingine nyingi mpaka Urusi imeomba msaada Syria na kwingine.
Licha ya hasara yote hiyo, Urusi imeambulia tumiji twa huko mpakani....hovyoo sana.

where-are-ukraine-&-russia.jpg
Mbona hujiulizi kwanini Marekani anashindwa kuishambilia Cuba,maana ziko pua na mdomo...
 
Mbona hujiulizi kwanini Marekani anashindwa kuishambilia Cuba,maana ziko pua na mdomo...

Hajashindwa, ila anaheshimu uhuru wa wana-Cuba na hawajampa sababu za kuwapa kipodo, kwanza anaakili sana yule, ni jambo la hovyo kuparamia majirani zako, maugomvi yote Marekani huyafanya mbali.
 
Hiyo ni Vita ya Russia na mashoga wa NATO kina USA kupitia kivuli cha Ukraine na mjomba Putin anawachaza nje ndani Hadi kiuchumi wanauona moto
 
Ndio picha umepatia, yaani siku zaidi ya 100 JWTZ wawe bado wanapambana na tumiji twa mpakani hapo Rwanda, wameshindwa kufika Kigali na wamepoteza wakuu wengi jeshini na maelfu ya wanajeshi na hasara zingine zote, na hadi waanze kuomba usaidizi kutoka kwa mataifa mengine, na pia kufanya usaili wa wanajeshi wapya kwa maelfu.
Hata kuwe na vijana wazalendo kiasi gani, hawawezi kujiunga na jeshi la urusi hasa kwa upepo unavyoenda.
 
Hapo kimuonekano ni vita ya Russia vs Ukraine ambayo ingekuwa imeishaisha by now.

Kiuhalisia, vita ni kati ya Russia vs NATO.
Huu mtiti hauishi leo wala kesho.
Toa bangi majeshi ya Russia yapo Ukrein lakini majeshi,ya Nato hayapo Ukrein
 
Hivi urusi, china na korea kaskazini zikiombz kujiunga nato zitakubaliwa. Kama zitakubaliwa nato itaendelea kuwepo. Nakama itakuwepo itakuwa inajihami kwa ajili ya taifa gani?
Hapana, Kuna vigezo vya kujiunga NATO

kama
Democracy ya Bunge, Uhuru wa Bishara na watu, Democracy ya majeshi ya Nchi, Kiwango cha kudhibiti Rushwa na masuala ya Mahakama.

Nchi kama China, Russia, N.Korea kiongozi wa juu anachoamka nacho anaweza akafanya kwenye jeshi ndio kinafatwa, mfano kabisa ni vita ya Ukraine, that was total Bullshit.
 
Hivi urusi, china na korea kaskazini zikiombz kujiunga nato zitakubaliwa. Kama zitakubaliwa nato itaendelea kuwepo. Nakama itakuwepo itakuwa inajihami kwa ajili ya taifa gani?
NATO = North Antlantic Treat Organization

Turkey haiko north, kaingia NATO sababu 1% ya ardhi yake imegusa Ulaya.

Israel hawezi kua NATO, yuko Asia /Middle East


Russia yuko Ulaya sabahu Moscow, St Peter, Kalingrad, na 2/3 ya population iko iko West. Russia anaweza kua NATO but it is another topic.
 
Tukipigana na waislamu hamtabaki hata mmoja, mumechokoza sana Wakristo kwa kuchinja na kulazimisha huo uzombi wa dini ya waarabu, sema Wakristo huniboa sana kwa kuonyesha unyonge japo wengi wanafuata maandiko maana mumetabiriwa haya mnayoyafanya kwa Wakristo yametajwa, inabidi mvumiliwe, ila mkichokwa sijui itakua vipi.

Na kuhusu huyu Urusi mnayemuabudu, siku akipigana na NATO atafutwa duniani...
Tena hata waislamu wa ndani nao wanageuka kuwa maadaui.
 
Back
Top Bottom