CCM tutaing'oa tukiachana na wapiga dili kama waliotuuza 2015Hoja yako ni nini hapa dogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM tutaing'oa tukiachana na wapiga dili kama waliotuuza 2015Hoja yako ni nini hapa dogo?
CCM tutaing'oa tukiachana na wapiga dili kama waliotuuza 2015
Hicho ni chama cha siasa!Huo ni msikiti au chama cha siasa?
Dah we jamaa mgomvi sana😀😆😀kwamba inaweza kuwa ni Act Wazalendo Islamic Seminary 😆Huo ni msikiti au chama cha siasa?
Zitto bado yupo sana kwenye siasa zetu!Kama kuna mwanasiasa atakaekuja kuisha haraka ni zzk.
ACT-Wazalendo ni chama cha siasa ambacho mwishoni mwa mwaka huu kitapewa serikali ya Tanzania kuiongoza!
Kama unasema wamefanana na kikundi cha kidini basi nadhani tuwaamini!Ina shida gani kwani mkuu? Si imefanana na kikundi cha kidini tuu.. Tuwaamini😂😂
Mkuu;Tuwekee na ya CCM tafadhali ili tuzidi kutia nadhari.?
Huenda na wao kuna jambo kule tukajifunzaga.
You have to start believing from now !
This is new Zitto Kabwe!
Hata huku kwetu chadema mfungo wa kwaresma unatuhusu hili ni baraza la maaskofu kabisaHawa wanatakiwa kuruhusiwa kufanya mikutano wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani,utakuta makao makuu ya chama kila mtu yupo likizo ya mfungo,hii ni safu ya udini.Maalim kauleta UCUF?Udini ACT
Mkuu;Uongozi wa ACT Wazalendo
Waislamu >>>>> 79%
Nini kinakufanya udhani hivyo?