Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

You have to start believing from now !

This is new Zitto Kabwe!


Zitto will never change, yaani jamaa anajimaliza kisiasa ile mbaya. Nafikiri ana "Short Man Syndrome or SMS," yaani yeye muda wote anataka asikike akilia ili wananchi wamuonee huruma.
 
Hawa wanatakiwa kuruhusiwa kufanya mikutano wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani,utakuta makao makuu ya chama kila mtu yupo likizo ya mfungo,hii ni safu ya udini.Maalim kauleta UCUF?Udini ACT
Hata huku kwetu chadema mfungo wa kwaresma unatuhusu hili ni baraza la maaskofu kabisa
tapatalk_-595598743_180x375.jpg


Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom