Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Nilidhani manifest ya waendao hija
Na huku tuna waimba kwaya ya mtakatifu sana john mtembezi
tapatalk_-595598743_180x375.jpg


Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Jamani mnisaidiye kiongozi mkuu wa act ninini hasa,?mi ninavyoelewa cheo cha juu ktk chama ni m\kiti safu inashuka.
Ni kama kiongozi Mkuu wa Taifa la Iran wakati pia kuna Rais wa Iran!
 
Acha wivu tu na uoga umekujaa.

Kombora limesharushwa, sijui ni bomu gani la kulitengua?
 
Walewale tu
Weka ya NCCR Mageuzi na TLP kwanza

Ngoja nikusaidie ya Chadema

1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu

Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati

Msemaji
John Mrema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wamedhamilia mamlaka kamili,hilo unlike liona kwa malengo yao hakuna tatizo
 
Interesting! Propaganda at its best. Naona hapa “ukweli fulani” unatumika “vizuri kabisa” kuyumbisha wale wasiotaka kufikiri vyema. Tatizo haliko kwenye safu ya uongozi wa chama, BALI kwenye sumu inayopandikizwa mara kwa mara na chama dola kuwagawa Watanzania kwa misingi ya kikabila, kikanda, kidini, kizalendo, n.k. Na “wanafanikiwa” sana.

Huwa najiuliza sana: chama dola tayari kina karata ya turufu inayokihakikishia ushindi “milele na milele”. Kwa nini basi, wanapropaganda wake wanalazimika kutumia hadi mbinu hatari (desperate) zinazosambaratisha umoja wa kitaifa ili tu kuonyesha “kasoro” (ambazo si za msingi) kwenye vyama vya upinzani? Sidhani kama Watanzania wanahitaji propaganda sumu za aina hiyo; wanayo akili ya kupima na kupambanua ukweli na uongo na kuamua wanachotaka wakipewa fursa sahihi kufanya hivyo.
Nani amesema kuna tatizo kwenye safu ya uongozi wa ACT-Wazalendo? Kama unadhani kuna tatizo basi wewe ndiye uliyeona kuna tatizo!

Yaani viongozi wa juu wa chama cha upinzani wajipe vyeo vya juu ndani ya chama chao halafu ilaumiwe CCM!

Halafu unatakiwa uelewe kuwa sio kila anayekosoa upinzani ni ''mwanachama dola'' kama unavyotaka kuaminisha wasomaji wa maoni yako!
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hawa wanatakiwa kuruhusiwa kufanya mikutano wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani,utakuta makao makuu ya chama kila mtu yupo likizo ya mfungo,hii ni safu ya udini.Maalim kauleta UCUF?Udini ACT
 
Kupewa dola labda kwenda kuibadirisha kwenye maduka ya kubadirisha pesa ila hao wanajiandaa kuwa chama kikuu Cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu.!
Then CDM wataendelea kupotea taratibu Kama ambavyo NCCR na TLP zilipotea baada ya miaka kadhaa no watavurugwa kwa viongoz wao wengi kuhamia CHAMA TAWALA.!
Hizi ndio SIASA za AFRICA

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!
Mkuu umenifanya nicheke! Eti kupewa dola labda kwenda kuibadirisha kwenye maduka ya kubadirisha pesa!

Haya bana!
 
No mpaka kipige swalaa kwanza ndo kikao kianze
 
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Ndio.

Cha ajabu ni kipi hapo kama sio kutafuta shari tu.

Maana yake ni kwamba ACT imejiimarisha zaidi visiwani, na huko ndiko wamewekeza nguvu zao kuchukua serikali.
 
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka

Nashukuru kwa kuleta orodha ya viongozi wa juu wa CCM!
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hakuna kuangalia idikati za dini zetu kwanza kabla ya kupewa hizi nafasi ? Maana naona mzani haujawa sawa.
 
Back
Top Bottom