Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Sisi tunaiona imesheheni watanzania, kama umeiona tofauti sema ww tofauti iliyopo na useme ulitaka iweje.
Kwa sababu iko hivi unaona Haina impact, ngoja igeuke iwe kivingine ndio utaipata habar yake,.
 
Kwa Unafiki na Upuuzi uilioko huko Upinzani sioni aibu wala uwoga kusema kwamba kuna uwezekano CCM ikatawala mpaka pale Yesu Kristo atakapokuja tena au Dunia ikipinduka. Udhaifu na Uzandiki wa Wapinzani nchini Tanzania ndiyo Mafanikio ya Kudumu ya CCM. Kama kuna Wapinzani watakuja Kuitawala Tanzania basi labda ni baada ya Miaka Elfu Hamsini ( 50,000 ) ijayo.
Wewe unajifanyaga mwelevu kumbe ni empty headed! Unajidhalilisha...... yanayofanywa na CCM huyaoni? Rubbish!
 
Mkuu, iko hivi, nchi yetu karibu 98% tunaishi kidugu, haijalishi wewe ni mgalatia ama ni muulamaa, angalia jamii inavyoishi kitaani, na nashangaa Kwa nini Bwana ZZK hajifunzi katika vitu vidogovidogo vinavyoifanya jamii ikae bila bughudha yoyote,

Kwenye Nyumba ya Mgaratia, Muislamu anakaa, nyumba ya Muislamu,Mgalatia anakaa tena Kwa Amani haswaa

Mgaratia anaoa Muislamu vivyohivyo Kwa Waislamu pia, Kwa hiyo kiukweli asilimia kubwa mtu akisema juu ya Tanzania kuna udini ni muongo

Tatizo liko tu kwenye hiyo 2% ilobaki, hawa watu ndio utakuta anmeweka mipaka eti kwamba anaijua Sana dini kuliko Huyo Mungu mwenye Dini yake,
Utakuta, amejitenga, hataki kushirikiana na mtu wa dini tofauti na yake, anasahau kwamba, Mungu ni Upendo na Mungu anawapenda watu wote bila kujali tofauti za Imani zao, utakuta SASA mtu mdini, hapangishi nyumba zake Kwa Mgaratia ama Mgalatia kumpangisha Muislam kisa, si wa Imani yake

SASA, mitaani ndio watu wanaozungumzwa saaana kuhusiana na tabia zao hizo, na asilimia kubwa watu hawa hawana marafiki na watu Kwa kujitenga kwao eidha Kwa kuitwa wanaroho mbaya, n.k n.k

Na asilimia hiyo ndiyo inayosumbua hata kwenye mitandao kuonyesha rangi zao,

Kwa kuwa watu hawa ni Watanzania wenzetu na Wao wameamua kuishi hivyo, hatuwezi kuwapuuza, linapokuja swala la kitaifa linalogusa jamii yote basi ni vema kutambua uwepo wa hawa watu, watu hawa ukiwapuuza kunanamna wataungwa tu mkono Kwa hoja zao, na hivyo sasa, ni vema Sana miundo hii ya Vyama vyetu visipuuzie haya Yasemayo ili kuondoa makandokando, kwani kunahasara yoyote ukizingatia Hilo?
Ngoja nikusaidie ya Chadema

1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu

Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati

Msemaji
John Mrema
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hii ya Chadema vipi mbona wazee wa vibalaghashia wapo dusu.

1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu

Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati

Msemaji
John Mrema
 
Ngoja nikusaidie ya Chadema

1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu

Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati

Msemaji
John Mrema
Mkuu, nimesema!!! Ni yaleyale tu, kama huku tunakemea Udini, basi hata hawa jamaa hawakwepi hili, ili kumnyima agenda CCM katika hili kwani hatuwezi kuzuia Kwa kumchagua viongozi wetu Kwa kuondoka hii dhana ingawaje haina mashiko??
 
UDINI wa Tanzania unashangaza kidogo, endapo taasisi itakuwa na Waislam hata 40% itatangaziwa udinI, lakini kukiwa na wakristo hata 95% hapo hakuna UDINI utaambiwa wanastahili ! Ukiangalia percentage za dini CCM, CHADEMA na ACT almost zinafana! Ila wanazi wa CHADEMA na CCM hapa wameungana kuituhumu ACT!


Wakristo ni 78% ya wananchi wote hivyo huwezi kukwepa hii
 
1586156422342.png
hawa ndio maraisi wetu 2020-2025
 
Sema unatamani ccm iendelee kutawala milele, na sio kwamba itatawala milele.
Achana naye huyo kamanda.
Hata asipotamani CCM itaendelea kutawala tu hadi wapinzani tutakapoacha kuchagua wapiga dili kutuongoza.
 
Achana naye huyo kamanda.
Hata asipotamani CCM itaendelea kutawala tu hadi wapinzani tutakapoacha kuchagua wapiga dili kutuongoza.

Nitajie chama chenye viongozi wasiopiga deal.
 
Hayo ni majina tu hayahisiani na udini! Jina la Pombe au Polepole au Maharagande kwani liko kwenye Ukristooo? Lakini wenyr majina hayo ni Wakristo. Kama walivorisishwa majina kina Pombe na ndio walivorisishwa majina hao kina Nassor na Mohammed na kina Augustino Ramadhani!

Arsene Wenger aliwahi kuulizwa kwa nini una wachezaji wasio wa Kiengerza wengi kwenye timu yako? Alijibu, "Ninaposajili mchezaji mimi siangalii passport yake naangalia performance yake!

Hichi Chama base yake iko Kigoma na Zanzibat. What did you expect?
 
Sasa kama hawakupatikana wagombea zaidi ya hao ulitaka wafanyeje?!

Au wakaokote watu mtaani ili tu wakuridhishe wewe!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli mku kama watu wa aina tunayoitaka hawakujitokeza, tulitaka ACT wahairishe uchaguzi? IMPOSSIBLE! Lazima uchaguzi uendelee kama kawa.

Mimi swali langu dogo lilikuwa kwamba wangapi walijitokeza kugombea hiyo nafasi namba moja ya Mh. Zitto? au alipita bila kupingwa?
 
Nitajie chama chenye viongozi wasiopiga deal.
Vyote vinapiga dili.
Duh! Nimekumbuka dili la akina Lisu na CCM la 2015
Limetufanya hadi leo tumekuwa chama cha kupambana na Polisi, Magereza na Mahakama.
 
Vyote vinapiga dili.
Duh! Nimekumbuka dili la akina Lisu na CCM la 2015
Limetufanya hadi leo tumekuwa chama cha kupambana na Polisi, Magereza na Mahakama.

Hoja yako ni nini hapa dogo?
 
Back
Top Bottom