Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa Nchi nae hakushtukia hii?-
Btw, ni kwamba haujui kwamba ACT ina wafuasi wengi kutoka Zanzibar, na hata ukiangalia hayo majina, wengi ni ex-CUF, au ndo basi tu kutaka kushadadia propaganda za Lumumba?!Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;
Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli
Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula
Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein
Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally
Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo
Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi
Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole
Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter
Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James
Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond
Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga
Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule
Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa
Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Yaani ni aibu! By 2020 bado watu wanaleta mijadala inayoakisi udini!!!Mods tafadhalini huu uzi ufungwe au ufutwe. Tunapoelekea si pazuri kabisa. Hii chuki inayopandikizwa hapa si ya kuiachia tuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa chini ni safu ya viongozi wa nini?!Mbona kama safu ya uongozi wa taasisi ya kidini?
Hivi ACT hakuna wakristo huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;
Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli
Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula
Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein
Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally
Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo
Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi
Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole
Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter
Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James
Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond
Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga
Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule
Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa
Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Atawacheka kama ana makengeza manake sioni tofauti yoyote kati ya ACT na CCM inayoongozwa na Jiwe kwa kuangalia hii safu:-Hivi jiwe huwa anawacheki halafu anachekaje??
IHHIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!
nimekuelewa mleta mada
Tena bora hata hao ACT ambao atakae kutumia akili yake sawasawa, fasta atajua kwamba ACT ina wafuasi wengi waliokuwa CUF, hususani CUF!Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;
Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli
Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula
Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein
Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally
Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo
Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi
Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole
Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter
Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James
Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond
Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga
Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule
Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa
Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Buraza usi panic .mm nilikua nataka kujua jiwe anachekaje basiiii.Atawacheka kama ana makengeza manake sioni tofauti yoyote kati ya ACT na CCM inayoongozwa na Jiwe kwa kuangalia hii safu:-
Tena bora hata hao ACT ambao atakae kutumia akili yake sawasawa, fasta atajua kwamba ACT ina wafuasi wengi waliokuwa CUF, hususani CUF!
Sasa mtu atashangaaje kuona majina aina hiyo?!
Nini kilichokufanya uamini nime-panic?!Buraza usi panic .mm nilikua nataka kujua jiwe anachekaje basiiii.
Siasa mm wapi na wap.
Hizo nawaachia nyie
I just guese.Am not sure sir.Though mwandiko wako kama ume panic vile bro.Nini kilichokufanya uamini nime-panic?!
Hii ACT Wazalendo haina tofauti na ile CUF ya kabla ya Ukawa.Lakini sijashangaa sana kwa kuona hivyo kwa kuwa CUF kabla ya Ukawa ndiyo hiyo hiyo iliyounda ACT Wazalendo ya sasa.CUF B.Naamini watakuwa na majibu mazuri ya kuaminisha watanzania kuwa wao siyo wabaguzi wa ki...d....ni.Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hii vipi kama ni baraza la maaskofu vileHii ACT Wazalendo haina tofauti na ile CUF ya kabla ya Ukawa.Lakini sijashangaa sana kwa kuona hivyo kwa kuwa CUF kabla ya Ukawa ndiyo hiyo hiyo iliyounda ACT Wazalendo ya sasa.CUF B.Naamini watakuwa na majibu mazuri ya kuaminisha watanzania kuwa wao siyo wabaguzi wa ki...d....ni.
Hapo bado hujaipanga ya Chadema na Nccra mageuzi...teeh teeh teehNimejikuta naikumbuka NSSF ya Dr. Ramadhan Dau
Mngekuwa makini mngetumia fursa hiyo kwenye chama chenu kuwa tofauti.Hii maana yake hamjajifunza chochote.Bora ya hao CDM ambao pamoja na mapungufu yao,wameonyesha dira.Tumaini jipya.Hata hivyo kwenye hiyo orodha ya CHADEMA naona viongozi wajuu kabisa,Makamu mwenyekiti na naibu Katibu Mkuu.WAPO.Hii vipi kama ni baraza la maaskofu vile View attachment 1409183
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Kipi walicho nacho tofauti au hiyo dira unayosema chama kina mpaka wachungaji wa kanisa ukristo wa wazi uchaga wa dhahiri ukanda nk halafu unadai tumaini jipya una chekesha sana cdm kimejaa uchaga na udini wake jibu utaliona uchaguzi ujao watakuwa watazaji hakuna mbadala wa CCM labda ipite miaka elfu mbili mingineMngekuwa makini mngetumia fursa hiyo kwenye chama chenu kuwa tofauti.Hii maana yake hamjajifunza chochote.Bora ya hao CDM ambao pamoja na mapungufu yao,wameonyesha dira.Tumaini jipya.Hata hivyo kwenye hiyo orodha ya CHADEMA naona viongozi wajuu kabisa,Makamu mwenyekiti na naibu Katibu Mkuu.WAPO.
Mmh! Kweli orodha hiyo inafikirisha!Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Why are you still living in dark continent?1. Watusi na Wahutu walitambuana kwa PUA zao.
2. Afrika Kusini Wanatambuana kwa mwonekano tu unashushiwa kipigo kwa kuitwa KWERE KWERE!
3. Tanzania DINI zetu tunatambuana kwa MAJINA tu.
Yaani wewe hata kama unaagiza MTU ASIYE NA HATIA apigwe RISASI 38 kama wanaua CHATU au KUUA TU MPITA NJIA MWANAFUNZI Haijalishi, Ilimradi Una Jina La DINI YETU na MADARAKA Utaabudiwa kuliko Mungu.
What a Dark Continent !!!?
Mkuu, kama kweli ulitabiri hivyo na hivi ndiyo yanaenda Kutokea basi wewe unastahili uitwe muonaji,NiliwahI kutabiri way back 2013 humu kuwa ujio wa Rais mkristo wa awamu ya 5 utaiua CHADEMA! Na hicho ndicho kinachotokea sasa. Nguvu kubwa ya CHADEMA ilikuwa upinzani dhidi ya KIKWETE ( dini yake) na sio CCM! No wonder jumuia za makanisa zilikuwa mstari wa mbele katika upinzani huo lakini sasa WAMETULIA wanakula mema ya nchi na kelele za UDINI zimeisha ilhali DINI moja ndio imeshika hatamu! Matokeo yake (i) kudhoifika kwa CHADEMA (ii) KUIMARIKA kwa CMM ...
Ni ajabu hata "wanafikra" wetu wa JF wameingia katika mtego huu. Amin nawaambia, kwa kuituhumu ACT kuhusiano UDINI anayedhoofika ni CHADEMA, maana Wakristo watapigia kura Serikali kama kawaida, baadhi ya Waislam mtawasukuma ACT, wanaobaki wanapigia kura CCM!!
Mimi nauliza 1. kiongozi mkuu na mwenyekiti nini tofauti ya kazi zao? 2. Kiongozi mkuu kwa kingereza cheo chake tumuiteje?Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?