Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Kati ya uliowataja ndiye umeleta huu uzi, et lengo chama kisipotee kwenye mitandao, hovyo kabsaa
 
Vipi Zitto hakushtukia hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa Nchi nae hakushtukia hii?-
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Btw, ni kwamba haujui kwamba ACT ina wafuasi wengi kutoka Zanzibar, na hata ukiangalia hayo majina, wengi ni ex-CUF, au ndo basi tu kutaka kushadadia propaganda za Lumumba?!
 
Mbona kama safu ya uongozi wa taasisi ya kidini?

Hivi ACT hakuna wakristo huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa chini ni safu ya viongozi wa nini?!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
 
Hao ulio wataja hapo wana experiences katika siasa,especially now siasa za kukunuana eti uunge juhudi, Chama kinahitaji viongozi kama hao wasio tetereka kwa pesa ya dafu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi jiwe huwa anawacheki halafu anachekaje??
IHHIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!
nimekuelewa mleta mada
Atawacheka kama ana makengeza manake sioni tofauti yoyote kati ya ACT na CCM inayoongozwa na Jiwe kwa kuangalia hii safu:-
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Tena bora hata hao ACT ambao atakae kutumia akili yake sawasawa, fasta atajua kwamba ACT ina wafuasi wengi waliokuwa CUF, hususani CUF!

Sasa mtu atashangaaje kuona majina aina hiyo?!
 
Atawacheka kama ana makengeza manake sioni tofauti yoyote kati ya ACT na CCM inayoongozwa na Jiwe kwa kuangalia hii safu:-
Tena bora hata hao ACT ambao atakae kutumia akili yake sawasawa, fasta atajua kwamba ACT ina wafuasi wengi waliokuwa CUF, hususani CUF!

Sasa mtu atashangaaje kuona majina aina hiyo?!
Buraza usi panic .mm nilikua nataka kujua jiwe anachekaje basiiii.
Siasa mm wapi na wap.
Hizo nawaachia nyie
 
Wakati taifa letu linazidi kusonga mbele kidemokrasia,kuna kila dalili za kuvunjika kwa umoja wakitaifa ambao ndio msingi na tunu kuu ya Tanzania.
Aidha kuna dalili za ukabila na ukanda nazo zinajitokeza kwenye siasa zetu ,na kuna mawakala wanazipalilia humu nchini.

Kwa kuepuka mivutano isyokuwa ya lazima huko mbeleni kwa vizazi vijavyo
inatupasa tufikiri vyema ni namna gani mambo haya tunayawekea misingi isiyotetereka.

Kimsingi ,katiba yetu imeweka wazi kuwa uongozi wa nchi hii hautatolewa kwa kabila wala dini fulani, na kufanya hivyo ni makosa kisheria,
Iweje basi baada ya mutu kuchaguliwa kwa taratibu za kikatiba ya nchi atokee mtu aanze kuimba wimbo wa kabila, kanda au dini?
Jee Kufanya hivyo kwa kutuhumu nako si kosa kisheria?
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hii ACT Wazalendo haina tofauti na ile CUF ya kabla ya Ukawa.Lakini sijashangaa sana kwa kuona hivyo kwa kuwa CUF kabla ya Ukawa ndiyo hiyo hiyo iliyounda ACT Wazalendo ya sasa.CUF B.Naamini watakuwa na majibu mazuri ya kuaminisha watanzania kuwa wao siyo wabaguzi wa ki...d....ni.
 
Hii ACT Wazalendo haina tofauti na ile CUF ya kabla ya Ukawa.Lakini sijashangaa sana kwa kuona hivyo kwa kuwa CUF kabla ya Ukawa ndiyo hiyo hiyo iliyounda ACT Wazalendo ya sasa.CUF B.Naamini watakuwa na majibu mazuri ya kuaminisha watanzania kuwa wao siyo wabaguzi wa ki...d....ni.
Hii vipi kama ni baraza la maaskofu vile
tapatalk_-595598743_180x375.jpg


Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Hii vipi kama ni baraza la maaskofu vile View attachment 1409183

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Mngekuwa makini mngetumia fursa hiyo kwenye chama chenu kuwa tofauti.Hii maana yake hamjajifunza chochote.Bora ya hao CDM ambao pamoja na mapungufu yao,wameonyesha dira.Tumaini jipya.Hata hivyo kwenye hiyo orodha ya CHADEMA naona viongozi wajuu kabisa,Makamu mwenyekiti na naibu Katibu Mkuu.WAPO.
 
Mngekuwa makini mngetumia fursa hiyo kwenye chama chenu kuwa tofauti.Hii maana yake hamjajifunza chochote.Bora ya hao CDM ambao pamoja na mapungufu yao,wameonyesha dira.Tumaini jipya.Hata hivyo kwenye hiyo orodha ya CHADEMA naona viongozi wajuu kabisa,Makamu mwenyekiti na naibu Katibu Mkuu.WAPO.
Kipi walicho nacho tofauti au hiyo dira unayosema chama kina mpaka wachungaji wa kanisa ukristo wa wazi uchaga wa dhahiri ukanda nk halafu unadai tumaini jipya una chekesha sana cdm kimejaa uchaga na udini wake jibu utaliona uchaguzi ujao watakuwa watazaji hakuna mbadala wa CCM labda ipite miaka elfu mbili mingine

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Mmh! Kweli orodha hiyo inafikirisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Watusi na Wahutu walitambuana kwa PUA zao.

2. Afrika Kusini Wanatambuana kwa mwonekano tu unashushiwa kipigo kwa kuitwa KWERE KWERE!

3. Tanzania DINI zetu tunatambuana kwa MAJINA tu.

Yaani wewe hata kama unaagiza MTU ASIYE NA HATIA apigwe RISASI 38 kama wanaua CHATU au KUUA TU MPITA NJIA MWANAFUNZI Haijalishi, Ilimradi Una Jina La DINI YETU na MADARAKA Utaabudiwa kuliko Mungu.

What a Dark Continent !!!?
Why are you still living in dark continent?

Jog on!
 
NiliwahI kutabiri way back 2013 humu kuwa ujio wa Rais mkristo wa awamu ya 5 utaiua CHADEMA! Na hicho ndicho kinachotokea sasa. Nguvu kubwa ya CHADEMA ilikuwa upinzani dhidi ya KIKWETE ( dini yake) na sio CCM! No wonder jumuia za makanisa zilikuwa mstari wa mbele katika upinzani huo lakini sasa WAMETULIA wanakula mema ya nchi na kelele za UDINI zimeisha ilhali DINI moja ndio imeshika hatamu! Matokeo yake (i) kudhoifika kwa CHADEMA (ii) KUIMARIKA kwa CMM ...

Ni ajabu hata "wanafikra" wetu wa JF wameingia katika mtego huu. Amin nawaambia, kwa kuituhumu ACT kuhusiano UDINI anayedhoofika ni CHADEMA, maana Wakristo watapigia kura Serikali kama kawaida, baadhi ya Waislam mtawasukuma ACT, wanaobaki wanapigia kura CCM!!
Mkuu, kama kweli ulitabiri hivyo na hivi ndiyo yanaenda Kutokea basi wewe unastahili uitwe muonaji,

Kwa sehemu nyingine Kifo cha Chadema hata wao wamechangia, mkuu, nakumbuka siku moja nilitaka kukwidwa kwenye basi nikisafiri kutoka Dar kwenda Lupilo kwenye mashamba yangu, Wakati huo ndiyo lilikuwa kumewaka Moto bungeni, yaliyokuwa majambazi ya CCM yakiaibika Kwa kujiudhuru Kwa hoja nzito za kina ZZK kina Lisu na wengine wengi vijana machachari wa Chama changu nyakati hizo Chadema

Kwa hakika kila mtu alikuwa akiliona anguko la CCM lile pale, Chadema ikipiga jalamba kuingia Ikulu bila ya Shaka,

Tulibishana na mtu humo kwenye basi,jamaa bhana akakasirika si akataka kunipiga, na Kwa Chadema kipindi hicho ilikuwa ikiungwa mkono na watu wengi Sana kipindi hiko, kustukia tumekuwa wengi, jamaa akanywea na hoja tuliyokuwa tukiiongelea ni Yale mafisadi papa ya CCM kipindi hicho yaliyokuwa yametangazwa pale mwembe yanga

Chadema, mahali ilipokuja kuniboa na nahisi ndio sehemu pekee ilipojikwaa na kuwakatisha tamaa wengi, na pale walipomkaribisha mmoja la fisadi tulilokuwa tukilipigia kelele Sisi Chadema,

Ukweli bila kuficha, binafs nilianza kumpenda mtu mmojammoja na si Chama, mpaka sasa Chadema kuna watu wangu nawapenda na nimshabiki wao mzuri tu, pia CCM Wapo nao wakubali, hivyo Mimi binafsi sina Chama,sidaiwi na mtu, na hicho ndicho kilichochangia Kwa sehemu Chama changu cha Zamani kuanza kutokuaminika

Kama CCM inakiua Chama hiki Ila hata wao wajue kabisa wamechangia pia kukiua hiki Chama chao
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Mimi nauliza 1. kiongozi mkuu na mwenyekiti nini tofauti ya kazi zao? 2. Kiongozi mkuu kwa kingereza cheo chake tumuiteje?
 
Back
Top Bottom