Tagawa Mwakitombile
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 464
- 393
Hiyo ni safu ya uongozi wa chama au Msikiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejikuta naikumbuka NSSF ya Dr. Ramadhan Dau
Kuna kitu hakiko sawa kwenye uongozi wa juu wa ACT-Wazalendo!Halafu hayana hata aibu. Hiyo ni kama kampuni ya familia watu wanapeana vyeo.
Naona kigango cha parokia ya Lumumba kimekamilika. Paroko Pole Pole anakuma tu kitimoto hadi amevimbiwa
Wewe acha mambo yako mzee Mohamed Said atakujia juuNimejikuta naikumbuka NSSF ya Dr. Ramadhan Dau
Ukisajili majina makubwa si ndio hao kesho wanakutema wanaunga mkono juhudi, ni kuanza grass-roots level. Tunakuza wachezaji kama Arsenal wakiboreka tutauza kwa hela kubwa.Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Duh!Hahahahaaa
Wote wanatoka Maka na Madina, hakuna anaetoka Roma wala Vatcan.
Sent using Jamii Forums mobile app
ACT-Wazalendo wanaweza wasichue nchi lakini wakapewa na wapiga kura wengi!
Mkuu umechambua vizuri Sana kuhusu hii mada ya taswira ya udini kwenye Vyama vyetu hivi
Binafsi naungana nawewe kwenye kile ulichotaja propaganda ya Chama tawala, Tanzania enzi za Udini na ukabila pia ukanda tulishazitupa miaka na Tukamshukuru Mungu Kwa haya
Jambo lingine ambalo naendelea kuungana na wewe kwamba propaganda za CCM kuhusu kupandikiza chuki za Udini kwenye Vyama vingine ni pale hata wao wanaposahau kwamba hata katiba yetu imesema, Tanzania haina dini Ila katiba yetu mahali iilipomalizia kwamba (Watu wake ndio Wana dini)
Hiyo ndiyo aret ya mtu mwenye busara zake kutembea Nayo hasa linapokuja swala la kitaifa, Vyama vyetu kivyovyote vile vinapaswa vibebe taswira ya Kitaifa, vishughurikie matabaka na dosari zote ni mhimu kuzingatia
CCM, wao tayari ndio wanaoshika Dola, ili kuwanyima agenda kuvisema Vyama vyetu hivi ni kuhakikisha unakuwa smart kuliko wao, Kwa hiyo usiishie tu kulaumu kuhusu CCM na wapambe wake kuvisema Vyama pinzani kuwa havina taswira ya Kitaifa
Mkuu, Vyama pinzani sjui Kwa nini mara nyingi vinakuwa havitaki kujifunza, mfano mdogo tu kwamba, CUF ilikuwa na mwelekeo kama huu ambao leo Chama ambacho kinataka kuwa mbadara wa CCM kinafuata mfumo uleule ulioshindwa,
Tanzania haina Dini Ila watu wake wanadini, Watanzania hatujivunii uzuri wa dini zetu, Bali tunajivunia ule umoja wetu, na umoja wetu uligharamiwa, sasa mtu akiacha kuthamini gharama hiyo, Watanzania watamwadhibu Kwa kumpuuza hata kama lengo lake ni jema
Inawapasa viongozi wetu kuzingatia haya, hasa katika maswala yanayojumuisha halaiki ya watu
Zaburi 1:1Hahahaaaa........au aanzishe kabakwata kake!
Suala la kuangalia majina ya watu limezungumzwa miaka mingi na watanzania. Ni suala ambalo wakoloni walilitumia kutugawa ili watutawale
Changamoto inakuja kuwa wakati tabaka moja likitahadharisha tabaka jengine linajimwambafai kuwa nyie hamjasoma.
Lkn hao wasiosoma wakijipanga wale wanaanza kusema ' mnaleta udini' mnataka kuleta wenye ndevu ndefu kutawala.
Sasa mimi nadhani hayo mtayaona kwa kila chama yapo na kubwa tunalopaswa kuangalia na kujitofautisha ni kifalsafa za vyama hivyo.
Na moja ya falsafa kubwa ya vyama vyetu Tz ni kama ifuatavyo;-
Ccm, act, cuf ni vyama vya kikumunist na kilibelari.
Misingi ya vyama hivi mikuu
1. Kutoamini mungu - Secularism State
2. Ndoa za jinsia moja.
Sasa whether wana kubaliana na na kupractice falsafa hizo au laa, kitendo cha kuwa kwenye mrengo huo ni laana. Na ni Ukafiri.
Kwa upande wa pili wa shilingi falsafa ya chadema ni demokrasia yenye kulinda misingi ya kifamilia. Kukubali tofauti tulizonazo za kidini, kikabila na jinsia nk na kuzijuisha zote - Devercity State
Cdm inaamini ktk Demokrasia ya wengi wape na waache wajiamulie mambo yao. Kama act wanataka kuungana na wafuga ndevu waache wafanye hivyo, kama wanataka kukataza kuuza pombe, kamari na uzinzi hadharanj iwe sehemu ya sheria hao na sio lockdown au curfew waachwe wafanye hivyo ilimradi na wale wenye ustaarabu tofauti na huo wakiona uzito watatafuta jimbo litakaloruhusu mambo hayo.
Na ndio maana CDM inahimiza serikali ya majimbo. Ili tusiogopane, na kila raia akaishi jimbo lenye ustaarabu unaofata. Kama nilivyoona kule mufindi nguruwe zinambea tu mitaani, basi wanaoamini ustaarabu huo wataenda kuishi jumbo litakalounganishwa na mufindi.
Kwani Suala la kuangalia majina ya watu linawatisha wengi, ukiangalia sasa safu ya wizara na taasisi zake utakuja kuona 80% ni wa dhehebu moja. Ndio utajiuliza kuna shughuli gani za kitume zinaendelea humo, na kwanini walio nje ya dhehebu hilo ndio wenye manung'uniko zaidi. Hivyo ili tujiepushe na kasumba hizi za kikoloni suala ya kwanza la kulikimbilia ni serikali ya majimbo.
Mkuu;
Duh!Nayaona mafisi matupu yenye tamaa yamesheni, usishangae yakavurugana kama huko yalikokuwa kwanza!
Nashukuru kama umenielewa!Hivi jiwe huwa anawacheki halafu anachekaje??
IHHIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!
nimekuelewa mleta mada
Swali lako ni zuri!Sasa mwenyekiti wa chama na kiongozi mkuu wa chama tofauti yake ni nini?
Mimi nilichofanya ni kuuliza maswali!Ngumu sana kuliona hili,ukanda,udini ila nafikiri pia mleta mada una tatizo katika mtazamo wako...