Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Mfummo huuu ndo ilivyo kila Mkoa wa T/Bara.
Halmashauri ninayoifanyika Kazi.

NGAZI YA MKOA:
1) RC - Mkristo (RC)
2) RAS - Mkristo (RC)
3) Mkuu PCCB - Mkristo (RC)
4) RPC - Mkristo (RC)
5) RMO - Mkristo (RC)
6) RSO - Mkristo (TAG)
8) Mwenyekiti CCM - Mkristo (RC)
9) Mwenyekiti Chadema - Mkristo (RC)

NGAZI YA HALMASHURI:
1) DC - Mkristo (RC)
2) DAS - Mkristo - (RC)
3) DSO - Mkristo - (RC)
4) DED - Mkristo (Lutheran)
5) Mkuu PCCB - Mkristo (RC)
6) OCD - Mkristo (RC)
7) DMO - Mkristo (RC)
8) Mwenyekiti Chadema - Mkristo (RC)
9) Mwenyekiti CCM - Muislamu (Bakwata)

Sasa hapo hakuna anayehoji kuhusu Udini hapo na kila Mtu anaona ipo sawa.
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Msitutoe kwenye reli. Kazi yetu ni kumng'oa mkoloni mweusi. Hii ni safu njema isiyonunulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hapa ni Cabinet Ministers Mfumo ni huo huo Ukiristo 80%
Ndo maana wanaona ni makosa Kwa ACT
Hawa wameshazowea Udini na wanajuwa kuwa hivyo ndio haki kwao,kinyume cha ivyo wanalalama.
Hata ingelikuwa 50/50 bado wangelisema Baraza la Bakwata serikali.

Na serikali ya CCM ni hivyo hivyo
Siro AGP
George Masaju AG
Isack Aloyce Kamwelwe MP
William Lukuvi MP
Harrison Mwakyembe MP
Alphaxard Kangi Lugola MP
Joseph Kakunda MP
Augustine Mahiga MP
Philip Mpango MP
Angellah Kairuki MP
Medard Kalemani MP
Palamagamba Kabudi MP
Joyce Ndalichako MP
Luhaga Mpina MP
Japhet Hasunga MP
Jenista Mhagama MP
George Simbachawene MP
George Mkuchika MP
Hamisi Kigwangalla MP
Ummy Mwalimu MP
Hussein Mwinyi MP
Selemani Jafo M
Kassim Majaliwa MP
Makame Mbarawa MP
 
SASA TAZAMA WACHANGIAJI WATASEPA MMOJA MMOJA
WANADHANI HATUYAONI HAYA ILA TUNALINDA UMOJA WA KITAIFA TUU.
LAKINI TUKIAMUA KUWATOKEA ,
HAPO TUTAELEWANA KWENYE SHINGO.
SHA ... SHA... SHA....SHA
HADI MUKUBALI USAWA HAKI BIN HAKI
PUMBAVU ZENU
 
Boss MsemajiUkweli Si Asa ni kama Mpira wa Miguu aka Soccer aka Football aisee, Ni mchezo wa Makosa
Ukifanya Kosa wenzako wanakutandika. Naona MCC washapata Fimbo.


Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
 
Tatizo ni mkiwa nusu kwa nusu mkiungana na Wazanzibar lazima muone mnavyoona na ukichanganya na ISLAMOPHOBIA ndio balaa huenda na vyama vingine vipo hivyohivyo kwa upande wa dini zingine.
Wewe umeona nini kwenye safu ya viongozi wa juu wa ACT-Wazalendo!
 
The problem here is that we combine two different things, between the government and the Party structure

Shida ndiyo iko hapo, uzuri wa ACT ni wako wazi hawataki kujifichaficha kama Vyama vingine, wewe ukiona si sawa, shauri yako, na utakayeona Sawa ni Sawa,

Lakini mtu mwenye maono makubwa, hakatai ushauri na hawezi kudharau hata kama ni kakikundi kadogo
 
Akiiweka itakua ni zaidi ya hii ya act
.
tapatalk_-595598743_180x375.jpg


Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Halafu Jambo lingine, kwenye Uongozi wa Vyama vyetu hivi, WANAWAKE ni kama wamesahaulika Sana, sijui ni Kwa nini aisee, hili ni Kwa Vyama Vyote, hili nalo haliwezekani, hili ni la kutilia mkazo, haiwezekani WANAWAKE ndio wapiga Kura wazuri ndio wahamasishaji, halafu hawapewi nafasi why
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Ili kutimiza matakwa yako, Umemtaja MShauri Mkuu na kumuacha Makamo Mwenyekiti Bara Mama Dorothy Semu!!Umemuacha Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu Joram Lehwabura Bashange na Kumtaja Naibu Katibu Mkuu Znz Ndugu Nassoro Mazrui ! Unashangaza Sana

Unataka Kuturudisha Nyuma katika Mapambano kwa Miaka 20 Nyuma kma mlivofanya kwa CUF, Kwa Muda wote CUF mliifanya ya Waislamu kwa Bahati Mbaya wimbo huo uliimbwa na Wapinzani Pia ( Chadema) pasi na Kujua kuwa kazi hiyo Ilikuwa inainufaisha CCM. Ujinga huu Watanzania hatutakiwi kuurudia tena.Mpinzani anaehubiri hilo ni bora akatengwa yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Kigango Maana huyo Bashiru yupo km Tai inaweza kuondolewa isiharibu show

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo ni safu ya uongozi wa chama au uongozi wa msikiti?
 
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Naona kigango cha parokia ya Lumumba kimekamilika. Paroko Pole Pole anakula tu kitimoto hadi amevimbiwa
 
Back
Top Bottom