do! nimecheka sana majibu huwa mnayatoa wapi?sasa kutembea jukwaani tu masaa matatu.. wapewe kiwanda?
dharau zipo nyingi tu watu wanafanya kazi ngumu na za akili nyingi ila malipo kiduchu
[emoji91] [emoji91] [emoji23] [emoji23]Mbona kigari kimefungaa spea tairi 4???
Haaahaaaaa...uwiisasa kama unaweza pita jukwaani nusu uchi Kwa nn usidharaulike kupewa uchafu uliokuwa store
kamepigwa 🙂
Mbona kigari kimefungaa spea tairi 4???
Kwa kuwa ni huko hakuna shida kabisa.
ndo hivyo, alafu unajua una jina kama la dada yangu?Haaahaaaaa...uwii
Daaah nimecheka sana hii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha, anaweza kukauza kama skrepasasa kutembea jukwaani tu masaa matatu.. wapewe kiwanda?
dharau zipo nyingi tu watu wanafanya kazi ngumu na za akili nyingi ila malipo kiduchu