monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTFView attachment 825629View attachment 825630
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....
Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.
Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.
Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.
Hiyo gari hata bure sitakiiiiiiiiAngalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTFView attachment 825629View attachment 825630
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....
Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.
Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.
Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.
daahMbona iko poa tu. Unless unambie ni mbovu!
daah
bure wapi wakati ni mashindano? si wameuza talent zaoGari la kupewa bure. Why the complaints?
bure wapi wakati ni mashindano? si wameuza talent zao
Wana talent gani hao watoto?bure wapi wakati ni mashindano? si wameuza talent zao
Fursa za watu hizi waendelee kuwepo mjini..Kwani haya mashindano lazima kila mwaka yafanyike?
Do you think kuna mwenye guts hizo?Wapokeaji wasuse wasikubali kuchukua gari hiyo kisu hicho kitamuua mtumiaji bora kuacha kabisa kuliko kupokea tetenasi hiyo
Tena naambiwa wamekigonga na jiwe makusudi!!!Ka mgongo chura kamegongwa hapo mbele