Hii sasa ni Dharau kwa MaMiss wetu....

Hii sasa ni Dharau kwa MaMiss wetu....

Wallah mimi napenda miss Bantu
tapatalk_1533027505171.jpeg
 
Empty set wanakenua tu kwa hicho ki picha cha gari
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kama gari la mkaa trip moja shamba trip gereji icho ki baby walker kutu tupu.
 
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTFView attachment 825629View attachment 825630
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....

Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.

Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.

Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.

Mbona iko poa tu. Unless unambie ni mbovu!
 
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTFView attachment 825629View attachment 825630
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....

Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.

Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.

Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.
Hiyo gari hata bure sitakiiiiiiii
 
Hahahaha gari imekataliwa,
Na hao waandaaji wa shindano huwa hawajipangi kuhusu utoaji wa zawadi,au kuna upigaji
 
Acheni utan jaman hiv umiss ni kipaji? Mbona ni wauza papuch tu ho? Au hdio vipaji vya dunia ya leo?
 
Wapokeaji wasuse wasikubali kuchukua gari hiyo kisu hicho kitamuua mtumiaji bora kuacha kabisa kuliko kupokea tetenasi hiyo
Do you think kuna mwenye guts hizo?

Kumbuka these are just little girls just stepping out of their teens and from under their parents wings.


Gari hainijalishi sana kama kuwaza are they really ready for the price to pay that comes with fame from such exposure?
 
Wamekibadilisha! Afadhali na huyu,maana yule miss Tz 2016 Dianna Edward walitaka kumzima kabisa,ila baada ya kelele nyingi za wadau ndipo mwaka jana wakampa ka swift ikiwa ni mwaka mzima tokea avikwe taji hilo! Basata kimya, hilo hapo ndiyo jipya la miss lake zone
mis+mwazaa+pic.jpg
 
Back
Top Bottom