Zoezi ni siku 7 kuwa mvumilivuYani sensa, nimeamka tangu saa 12 asubuhi najua watafika fasta nisepe zangu. Familia Iko mkoa na mimi nipo peke yangu home, kifatacho ikifika saa 6 kamili mchana nafunga mlango na mageti nasepa kwenye mishe zingine!
Nawaza niandikie number za simu getini? Tatizo vishkwambi vyao vimewezeshwa na talk time? Hii naona itakua changamoto kwa watu wengi.
Subiri, utakosa mambo Mazuri! Kuna kifaa Cha Maana kinakuja, mvumilivu hula mbivu! Na akija tu mvua inaanza kunyesha....Na Mimi hawajapita Bado naondoka kama ifuatavyo
Hamna kenge aliokuja hata mmojaTayari??
HahaahahahahahahaMi nimeletewa karatasi na mwenyekiti nimejaza na amefurahi eti hakutegemea kama ntakua na familia .Hapa naelekea mjini nimwendo wa chombo redondo mwanzo mwisho
Aaah mi nishasepaYani sensa, nimeamka tangu saa 12 asubuhi najua watafika fasta nisepe zangu. Familia Iko mkoa na mimi nipo peke yangu home, kifatacho ikifika saa 6 kamili mchana nafunga mlango na mageti nasepa kwenye mishe zingine!
Nawaza niandikie number za simu getini? Tatizo vishkwambi vyao vimewezeshwa na talk time? Hii naona itakua changamoto kwa watu wengi.
Hahahahahaha dah watakufuata huko huko MpwaHamna kenge aliokuja hata mmoja
Ila wana siku 7 brother we sepa tu kaendelee na misheHamna kenge aliokuja hata mmoja
Ili jina vishkwambi kila muda nalisahau.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka wapoteze vishikwambi[emoji23]
Wenzako wamekula samaki wamebakiza mkia unataka umwage[emoji23][emoji23][emoji23]Nikaviuze chuma chakavu
Kuna makaratasi tena?Mi nimeletewa karatasi na mwenyekiti nimejaza na amefurahi eti hakutegemea kama ntakua na familia .Hapa naelekea mjini nimwendo wa chombo redondo mwanzo mwisho
Nitashtakiwa na jamhuri Kwa kukwamisha zoezi, usikute vishkwambbi vimetrakiwa kikawa kinasoma kwangu zaidi ya masaa manneSubiri, utakosa mambo Mazuri! Kuna kifaa Cha Maana kinakuja, mvumilivu hula mbivu! Na akija tu mvua inaanza kunyesha....
Ngoja niingie sinzaleHahahahahaha dah watakufuata huko huko Mpwa
Jina limekaa kishkwambi sana[emoji23]Ili jina vishkwambi kila muda nalisahau.
Mvua wapi tena hukoMakarani wakija na hii mvua inabidi wakaribishwe ndani[emoji23]
Mi wamenipa karatasi nimejaza majina matatu na wanafamilia wangu na nida namba nimeambiwa toka asubuhi ndio wako nyumba ya nne huko so wameamua kujiongeza.Watajijua wenyewe hukoo ngoja nikatafute mali kwanza niitibu.Kuna makaratasi tena?