Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Naunga mkono hoja ... mimi nimesoma IT ... Kishkwambi kitamsaidiaje mwalimu katika kuendeleza TEHAMA ?Habari!
Niliposoma habari ya vishkwambi kupewa walimu ili wakakuze TEHAMA nimeendelea kuwahurumia hawa watumishi ambao wamegeuzwa mpira wa Kona.
Hiyo TEHAMA itakua vipi kwa kutumia vishkwambi?
Serikali isikwepe majukumu yake, wanunue vifaa kamili vya kukuza TEHAMA kwa wanafunzi.
For your information, NBS waliazima vishkwambi kutoka wizala ya Elimu
Wahuni kwelikweli kama Steve NyerereNchi ya wahuni, corrupted
Haya. Tueleze jinsi vishkwambi vitakavyokuza somo la TEHAMANi kweli serikali inatakiwa kuprovide vifaa husika kwa ajili ya kukuza tehama, lakini sioni kama ni vibaya kuwapa walimu hivyo vishikwambi
Punguza ujuaji kijanaHabari!
Niliposoma habari ya vishkwambi kupewa walimu ili wakakuze TEHAMA nimeendelea kuwahurumia hawa watumishi ambao wamegeuzwa mpira wa Kona.
Hiyo TEHAMA itakua vipi kwa kutumia vishkwambi?
Serikali isikwepe majukumu yake, wanunue vifaa kamili vya kukuza TEHAMA kwa wanafunzi.
Sawa teacherPunguza ujuaji kijana
[emoji38][emoji38][emoji38]Habari!
Niliposoma habari ya vishkwambi kupewa walimu ili wakakuze TEHAMA nimeendelea kuwahurumia hawa watumishi ambao wamegeuzwa mpira wa Kona.
Hiyo TEHAMA itakua vipi kwa kutumia vishkwambi?
Serikali isikwepe majukumu yake, wanunue vifaa kamili vya kukuza TEHAMA kwa wanafunzi.
Na bado kuna laptop tunadai tuliahidiwa kwenye kampeni, tunasubiria pia....
Usitegemee kupata hata kiswaswaduNa bado kuna laptop tunadai tuliahidiwa kwenye kampeni, tunasubiria pia....