Hii serikali haina pa kupeleka vishkwambi wanawatupia Walimu

Naunga mkono hoja ... mimi nimesoma IT ... Kishkwambi kitamsaidiaje mwalimu katika kuendeleza TEHAMA ?

Kama kufundishia nashauri wanunuliwe fully package zikiwemo projector computer ...

Au wanawafuta machozi ya nyongeza ya ile asilimia iliyotajwa?

Aliyeshiba hamjui mwenye njaa ... naomba kuishia hapo
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…