makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ahadi si alitoa mwendazake, ma samia atasema hakuwa yeye,Na bado kuna laptop tunadai tuliahidiwa kwenye kampeni, tunasubiria pia....
kama kwenye corona mwenzake hakuvaa barakoa kuwa hakuna corona nae akapiga kimya, kisha marehemu aliporehemishwa nae akaja na barakoa na kumkana mgombea mwenza wake kwa wazi wazi 😂unategemea nini?