Hii serikali haina pa kupeleka vishkwambi wanawatupia Walimu

Na bado kuna laptop tunadai tuliahidiwa kwenye kampeni, tunasubiria pia....
Ahadi si alitoa mwendazake, ma samia atasema hakuwa yeye,
kama kwenye corona mwenzake hakuvaa barakoa kuwa hakuna corona nae akapiga kimya, kisha marehemu aliporehemishwa nae akaja na barakoa na kumkana mgombea mwenza wake kwa wazi wazi 😂unategemea nini?
 
Na bado kuna laptop tunadai tuliahidiwa kwenye kampeni, tunasubiria pia....
Ahadi si alitoa mwendazake, ma samia atasema hakuwa yeye,
kama kwenye corona mwenzake hakuvaa barakoa kuwa hakuna corona nae akapiga kimya, kisha marehemu aliporehemishwa nae akaja na barakoa na kumkana mgombea mwenza wake kwa wazi wazi unategemea nini?
 
Kwahiyo tumedhulumiwa?!
 
Watapigwa roba wote witaishia mikononi mwa panyaroad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…