Hii shangilia ya Nguvu ya Kocha wa Simba SC Olivieira kila Goli likifungwa angeihamishia kwa Timu kucheza kwa Nguvu ningeona ana Akili.

Hii shangilia ya Nguvu ya Kocha wa Simba SC Olivieira kila Goli likifungwa angeihamishia kwa Timu kucheza kwa Nguvu ningeona ana Akili.

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na wala huhitaji Akili Kubwa kujua kuwa kwa Shangilia ile ya Kocha wa Simba SC ni kama vile anawajibu Maadui zake ndani ya Klabu ( hasa Uongozi na baadhi ya Wachezaji ) hivyo kuhitimisha hili linalosemwa kuwa kuna Mgawanyiko mkubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC ( Wachezaji ) na Uongozi ( Viongozi ) kunakopelekea performance ya Timu kuzidi tu kuwa mbaya.

Tafadhali Kocha wa Simba SC Roberto Olivieira aambiwe kuwa wana Simba SC hatuhitaji Shangilia yake ya Kimihemko na kutaka Huruma ya Sisi Mashabiki bali tunataka kuiona Simba SC yetu inacheza Mpira mkubwa, inashinda Convincingly na hatufanyi Mashabiki kila mara kuwa Roho Juu Juu huku tukikumbatia tu Kende ( P ) zetu ili tusifungwe.
 
Hizo hisia tu, kila mtu na zake na kama ku control hisia zako binafsi tu ni ngumu, basi naamini kujaribu ku control za mwenzako ndio itakuwa ngumu zaidi.
 
Hizo hisia tu, kila mtu na zake na kama ku control hisia zako binafsi tu ni ngumu, basi naamini kujaribu ku control za mwenzako ndio itakuwa ngumu zaidi.
Rubbish and Nonsensical.
 
Na wala huhitaji Akili Kubwa kujua kuwa kwa Shangilia ile ya Kocha wa Simba SC ni kama vile anawajibu Maadui zake ndani ya Klabu ( hasa Uongozi na baadhi ya Wachezaji ) hivyo kuhitimisha hili linalosemwa kuwa kuna Mgawanyiko mkubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC ( Wachezaji ) na Uongozi ( Viongozi ) kunakopelekea performance ya Timu kuzidi tu kuwa mbaya.

Tafadhali Kocha wa Simba SC Roberto Olivieira aambiwe kuwa wana Simba SC hatuhitaji Shangilia yake ya Kimihemko na kutaka Huruma ya Sisi Mashabiki bali tunataka kuiona Simba SC yetu inacheza Mpira mkubwa, inashinda Convincingly na hatufanyi Mashabiki kila mara kuwa Roho Juu Juu huku tukikumbatia tu Kende ( P ) zetu ili tusifungwe.
Anawakomoa wanaomkosoa.
 
Huyo hapo anaenda kuchota maji kwa ajili ya kumpelekea Mgunda
FB_IMG_1677088903047.jpg
 
Na wala huhitaji Akili Kubwa kujua kuwa kwa Shangilia ile ya Kocha wa Simba SC ni kama vile anawajibu Maadui zake ndani ya Klabu ( hasa Uongozi na baadhi ya Wachezaji ) hivyo kuhitimisha hili linalosemwa kuwa kuna Mgawanyiko mkubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC ( Wachezaji ) na Uongozi ( Viongozi ) kunakopelekea performance ya Timu kuzidi tu kuwa mbaya.

Tafadhali Kocha wa Simba SC Roberto Olivieira aambiwe kuwa wana Simba SC hatuhitaji Shangilia yake ya Kimihemko na kutaka Huruma ya Sisi Mashabiki bali tunataka kuiona Simba SC yetu inacheza Mpira mkubwa, inashinda Convincingly na hatufanyi Mashabiki kila mara kuwa Roho Juu Juu huku tukikumbatia tu Kende ( P ) zetu ili tusifungwe.
Umeshasema kuna mgogoro sas ulitaka aingie yeye acheze
 
Back
Top Bottom