Vitumbua,Au kitumbua?Au nawe unatoa vyote viwili?Hata sijaona,ila warumi alishasema Tunda anawekwa na wanaume wengine mjini,Young D hana uwezo wa kumtunza.
Halafu si nilisikia wameachana?
Kweli umalaya unalipa,mimi na vitumbua vyangu sijui nitamiliki gari lini!
Vitumbua,Au kitumbua?Au nawe unatoa vyote viwili?
Natarajia jibu murua
Chezea wambea tulioshindikana E.A wewe?
Hahahahaaa
Ni police sio soldier!Cha ajabu baba ake tunda ni soldier, mi huwa najiuliza sijui wazazi wakiona hizo picha za vichupi mara wanakulana mate inakuaje.
Young Dar es salaama huyu huyu,yuko choka mbaya hajitambui na kwa sasa anakula unga kama kuku,amekuwa apeche alolo, maisha ya wasanii yanaenda kisaniii sanii, jana nimemuona nay wa mitego m/city yuko na bajaji kanaitwa PORTE lakini msikilize kwenye redio akiongea anajidai ni tajiri wa kufa mtu
Tunda anafanya kazi gani?
Wameacha kumbebesha sembe?
Si kuna njema moja linaitwa said. Ndio lilikuwa linafumua marinda
Sijui saidi anajishughulisha na nini
eeh hawajaachana kama kuachana labda wameachana jana usiku young dee ana piga kisela wanaogharamikia wapo pembeni
kweli nimeshaanza kuzeeka.. Tunda ndio nani jamani? Ameifanyia nini Tanzania mpk anazungumzwa hivyo?
huyu dogo embe nasikia ka ukwaa sijui kweli
Raha ya umbea shurt uhangaike we unaona tabu kuhamia thread ingine wakati warumi huwa anapanda gari kwenda kutafuta umbea, kuna siku alilala kwenye msiba usiomhusu (wa Adam kuambiana) ilmradi apate umbea ha ha ha
Baba yake Ni soldier!?😱Cha ajabu baba ake tunda ni soldier, mi huwa najiuliza sijui wazazi wakiona hizo picha za vichupi mara wanakulana mate inakuaje.
Hapo sawa, nilitaka nkshangae aiseeeNi police sio soldier!
aaah young dee yeye ni show na kusadiana kuvuta unga nahisi boss anaewabebesha unga ni mmojaSo young yake shoo matumizi masponsaa?
aaah young dee yeye ni show na kusadiana kuvuta unga nahisi boss anaewabebesha unga ni mmoja
Una vitumbua vingapi?
Young dee ni wa kuonewa huruma tu. ..yupo kwenye mtihani mzito acha apunguze stress kwa nyeupe tu