Hii si Sawa: Afisa Usafirishaji Wanavyokaba na Kupora Raia hapa Arusha

Hii si Sawa: Afisa Usafirishaji Wanavyokaba na Kupora Raia hapa Arusha

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250

Hawa vijana wamekosa adabu ya akili zao, sidhani kama wanaweza kukosa 5000/- kila siku wakiwa kijiweni kupakia abilia ila ndio vijana wa ovyo tunaoweza kusema samaki moja akioza..!.
IMG_20240328_155242.jpg

Vijana hawa wanatumia pikipiki kwa kuwapora watu jijini Arusha na wanazunguka sana maeneo haya St.Costantine, Burka, kwa mawala, by Pass na barabara ya uwanja wa ndege.
IMG_20240328_155302.jpg

Kwenye sinema pale juu dada mpita njia kaponea chupuchupu kukatwa panga wakati akiporwa ndipo kakimbilia ndani ya shule st. Constantine.

Ambapo inasikitiaha kusikia sauti za walinzi wa hapo shule wakifuatilia tukio, labda wakisubiri huyo dada akatwe ndipo watoe msaada, japo alitoka mmoja baadaye sana.

Juzi kuna mdau aliniambia wana siku kadhaama wamepiga kambi maeneo ya lakilaki.
 
Tukio kama hilo likitokea Arusha linakuzwa sana. Mbona ni kawaida?

Mikoa mingine bodaboda hawaibi?
 
Arusha inahitaji tiba ya Kisaikolojia, Arusha inahitaji Mikakati ya Sera na Program maalum kuwaponya Vijana. Hali siyo nzuri kama tunavyodhani, vijana wameharibika ni bangiiii na Mirungi, lugha chafu nk
 
Kwanza acha kuwatukuza kuwa ni maafisa usafirishaji, hao sio maafisa bali ni wahuni waendesha pikipiki/bodaboda. Lini bodaboda akawa afisa? Ma afisa/ofisa wapo ofisini.
 
Nilikuwa Arusha Dec 2022 dah ule mji hekaheka zake sio ndogo uhalifu uko juu mamlaka zifanye kazi ipasavyo
 
Boda boda, machinga ni daraja la wanasiasa kwenye siasa.

Wakipigwa marufuku wanasiasa wanapiga kelele, wakiachwa wanasiasa wanapiga kelele.

Kila mtu kaamua awaache maana hawazipandi
 
Kitambaa alichovaa huyo jambazi ni nembo ya Mujahidini.

Hiyo stance ni ya Mafunzo ya kareti kabisa.

Mungu amemuepusha huyo dada na Mauaji ya hao wanyang'any'i.
 
Boda boda, machinga ni daraja la wanasiasa kwenye siasa.

Wakipigwa marufuku wanasiasa wanapiga kelele, wakiachwa wanasiasa wanapiga kelele.

Kila mtu kaamua awaache maana hawazipandi
 
aliesema bodaboda ni kazi ya laana aliona mbali

na aliewaita bodaboda ni maafisa usafirishaji alikosea sana
Huyo ni jambazi anatumia pikipiki kupora watu siyo kila jambazi ni bodaboda.
Acha kupotosha.
 
View attachment 2947211
Hawa vijana wamekosa adabu ya akili zao, sidhani kama wanaweza kukosa 5000/- kila siku wakiwa kijiweni kupakia abilia ila ndio vijana wa ovyo tunaoweza kusema samaki moja akioza..!.
View attachment 2947231
Vijana hawa wanatumia pikipiki kwa kuwapora watu jijini Arusha na wanazunguka sana maeneo haya St.Costantine, Burka, kwa mawala, by Pass na barabara ya uwanja wa ndege.
View attachment 2947232
Kwenye sinema pale juu dada mpita njia kaponea chupuchupu kukatwa panga wakati akiporwa ndipo kakimbilia ndani ya shule st. Constantine.

Ambapo inasikitiaha kusikia sauti za walinzi wa hapo shule wakifuatilia tukio, labda wakisubiri huyo dada akatwe ndipo watoe msaada, japo alitoka mmoja baadaye sana.

Juzi kuna mdau aliniambia wana siku kadhaama wamepiga kambi maeneo ya lakilaki.
Hao vijana Wanashindwa kuelewa kamera zimeshategwa mji mzima siku hizi
Ni kudakwa tu
 
Huyo ni jambazi anatumia pikipiki kupora watu siyo kila jambazi ni bodaboda.
Acha kupotosha.
Pana ushirikiano wa bodaboda na hao majambazi. Ni wazi huyo Voda alimsubiri mporaji amalize kazi yake na baadae wote waondoke eneo laujambazi kwa kasi. Wote hao lao ni moja.
 
Kitambaa alichovaa huyo jambazi ni nembo ya Mujahidini.

Hiyo stance ni ya Mafunzo ya kareti kabisa.

Mungu amemuepusha huyo dada na Mauaji ya hao wanyang'any'i.
Hivyo vitambaa wanavaa watu wengi tu tena siku hizi wahuni wamegeuza fashion

Afu hapo hamna stance yoyote sema wamescreenshot pale akiwa anageuza kuirudia pikipiki waamshe

Hao ni wavuta bange tu.
 
Back
Top Bottom