Hii si sawa Nembo hadi kwenye Soksi!

Ata kulipa ada kubwa ni kuwawezesha walimu waweze kulipwa vizuri, kwa sababu hatengenezwi mvumbuzi pale wa space y
 
Mimi mwanangu wa darasa la 3 ameagizwa pesa ya jembe. sasa unajiuliza kijana wangu kimo na umri ule jembe jipya ataweza kunifanyia kazi?
 
Inawezekana lengo la mwalimu ni watoto waonekane nadhifu zaidi, hiyo ni kawaida tu kwa shule za private huwa wanaweka chapa za shule zao.
Halafu upunguze kushangaa vitu vidogovidogo wakati mwingine omba mwalimu akuonyeshe mfano wa hizo soksi baada ya kuwekwa nembo ungejikuta umezipenda!
elimu ni gharama pambana mwanao apate elimu bora! Kaa mkao wa kusubiri michango ya masomo na mitihani ya ziada.
 
Aisee balaaa
 
Sawa Mkuu!
 
Duh aiseee njaa ya waalimu mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…