Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ata kulipa ada kubwa ni kuwawezesha walimu waweze kulipwa vizuri, kwa sababu hatengenezwi mvumbuzi pale wa space y
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haiko poa, Nembo kwenye Soksi!Suala la kuonekana itaonekana tu Cha msingi awe na soksi zinazoendana na muongozo wa shule kuhusu uniform
SawaUkishapigiwa chapa type picha yake
Duuh walimu,walimu!Mimi mwanangu wa darasa la 3 ameagizwa pesa ya jembe. sasa unajiuliza kijana wangu kimo na umri ule jembe jipya ataweza kunifanyia kazi?
Inawezekana lengo la mwalimu ni watoto waonekane nadhifu zaidi, hiyo ni kawaida tu kwa shule za private huwa wanaweka chapa za shule zao.Habarini Wana JF,
Leo mwanangu katoka shule jioni,Ananiambia baba waalimu wamesema kesho twende na Hela ya Nembo kwenye Soksi!Najiuliza maswali,kama ni utambulisho wa mwanafunzi,nani anamacho makali kama darubini ya kusoma Soksi huyu ni mwanafunzi wa shule ya msingi Kisasa _Dodoma?
Soksi hiyo inaupana kiasi Gani hadi Nembo ienee jina?
Nimejaribu kumpigia mwalimu wa shule bila Aibu kajibu ni kweli kabisa!Hizi Dili zingine zikome kabisa.!Hiyo shule ipo Dodoma inaitwa shule ya Msingi_Kisasa.
Nawapongeza kwa kufaulisha wanafunzi vizuri,Ila hili la Nembo kwenye Soksi mmefeli.Kamanda Juma huo sio ukamanda.
Aisee balaaaHabarini Wana JF,
Leo mwanangu katoka shule jioni,Ananiambia baba waalimu wamesema kesho twende na Hela ya Nembo kwenye Soksi!Najiuliza maswali,kama ni utambulisho wa mwanafunzi,nani anamacho makali kama darubini ya kusoma Soksi huyu ni mwanafunzi wa shule ya msingi Kisasa _Dodoma?
Soksi hiyo inaupana kiasi Gani hadi Nembo ienee jina?
Nimejaribu kumpigia mwalimu wa shule bila Aibu kajibu ni kweli kabisa!Hizi Dili zingine zikome kabisa.!Hiyo shule ipo Dodoma inaitwa shule ya Msingi_Kisasa.
Nawapongeza kwa kufaulisha wanafunzi vizuri,Ila hili la Nembo kwenye Soksi mmefeli.Kamanda Juma huo sio ukamanda.
Sawa Mkuu!Inawezekana lengo la mwalimu ni watoto waonekane nadhifu zaidi, hiyo ni kawaida tu kwa shule za private huwa wanaweka chapa za shule zao.
Halafu upunguze kushangaa vitu vidogovidogo wakati mwingine omba mwalimu akuonyeshe mfano wa hizo soksi baada ya kuwekwa nembo ungejikuta umezipenda!
elimu ni gharama pambana mwanao apate elimu bora! Kaa mkao wa kusubiri michango ya masomo na mitihani ya ziada.