Hii Simba SC Haijawahi Tokea.. Yawaadhibu Ipasavyo Mtibwa Sugar.

Ila viungo wa simba waache kupiga square pasi,through pass kwa strikers zilikuwa chache mno
 
Ikiwa lazima dozi...huyu ni mnyama mkali sana

Mkuu uite uwanja wa Uhuru.. hilo jina limepigwa marufuku la shamba
Asante kwa kuweka kumbukumnu sawia Mkuu.
 
Ila viungo wa simba waache kupiga square pasi,through pass kwa strikers zilikuwa chache mno
Nachompendea Kocha bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika ardhi ya Kameruni ni mnyenyekevu na anayependa kushauriwa tofauti na yule toka Uingereza.. Na imani kachukua ushauri wako.
 
Daa afadhali maana washanitabiria kufungwa uingereza na Tanzania
 
Daa afadhali maana washanitabiria kufungwa uingereza na Tanzania
Mkuu.. Huyu Mnyama asiye na masikharaha hata kidogo akiwa mwituni kamwe hawezi kukuangusha hata siku moja.
 
Kabisa mkuu, hao Makombe yao ni Mapinduzi na Mtani jembe
Asante kwa kutuongezea kombe nililolisahau Mtani Jembe.. Sasa tunategemea makombe ma4
 
Nachompendea Kocha bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika ardhi ya Kameruni ni mnyenyekevu na anayependa kushauriwa tofauti na yule toka Uingereza.. Na imani kachukua ushauri wako.

Sawa Mkuu! Tupo Pamoja..!
Simba Nguvu Moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…