Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Usilazimishe mimi kuwa hiyo timu wakati moyo na mapafu yamegomaHata ukiwa na kadi, nasema azam haaina mashabiki! Wewe ni ndala, moyoni unajua hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usilazimishe mimi kuwa hiyo timu wakati moyo na mapafu yamegomaHata ukiwa na kadi, nasema azam haaina mashabiki! Wewe ni ndala, moyoni unajua hilo.
Malizeni ligi mapema muende mkashiriki kombe lenu la mto Nile.Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni, Simba SC leo ameendelea kutakata kama kawaida yake katika "mbuga" yake ya Shamba la Bibi.
Na hii ni baada ya kuiadhibu ipasavyo timu bora katika VPL, Mtibwa Sugar [achana na wale "wazugaji" Majimaji].
Mnyama kashinda goli 2-0.
Wafungaji wakiwa Ajibu na Mavugoal.. Yaani huyu Mnyama, akikukosa Ajibu, anakupata Mavugoal.
Nadhani sasa mtaa wa pili mmeanza kuelewa ni dozi ya kiasi gani tunaenda kuwanywesha tarehe 01.10.2016.. na mjipange kisawasawa kwa maana dozi tunayoenda kuwapa itakua tofauti na ile ya mwaka 2012.
SIMBA SPORTS CLUB, NGUVU MOJA
Huyo kocha kazi ilimshinda AzamNachompendea Kocha bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika ardhi ya Kameruni ni mnyenyekevu na anayependa kushauriwa tofauti na yule toka Uingereza.. Na imani kachukua ushauri wako.
baada ya miaka mingi kadhaa kupita leo tena nimeangalia mechi mpira wa bongo kwa kweli watu wanapiga soka mpaka mpaka unaona raha ya mpira, niliacha kuangalia kwa sababu kipindi hichi mpira ulikuwa hauvitii hata kidogo kila dakika mtu anatoa mpira nje mpaka inaboa, ila saizi vijana wanapiga kazi.
Nani anafuata kwenye kipigo?
Kama ni hivyo basi wewe ni kijana wa Nyalusi.Usilazimishe mimi kuwa hiyo timu wakati moyo na mapafu yamegoma
Chamazi complex? Kwanini sio shamba la bibi?Kitoweo kinachofuata ni Azam FC.
17.09.2016(Sat): AZAM FC Vs SIMBA SC... CHAMAZI COMPLEX
Baada ya Azama FC, vitoweo vingine vinapatika hapa UPDATE 3: Ni nani yu mikononi mwa Mnyama, kabla na baada ya 01.10.2016?
Chamazi complex? Kwanini sio shamba la bibi?
Si nilisikia game kubwa hazipelekwi maporini?
Sasa imekuwaje?