Hii simping culture imekuwa too much now. Wanaume halisi wako wapi?

Ukweli ni kwamba Wanaume ni wengi kuliko wanawake, unaweza kujiamin na bado mwanamke akakukataa the main point mwanamke mpaka awe na hisia na wewe ndo atamkubalia mwanaume
 
All men should be like that. Confident and insecure.
Acha sisi wanawake ndio tuwe insecure.
Unakuta kanaume kanashinda kwa kioo ili kaonekane kazuri ukapende.

Hakali vizuri bajeti yote kanamalizia kwenye nguo ili kapendwe au kuhonga.
 
Exactly tangu eden mwanaume kwa mwanamke ni mdhaifu,hao wanaume halisi unaowaulizia ni wa enzi zile za mama zetu wakiwa waadilifu sio zama hizi za mashangazi,sugar dady.
Mara tangu eden, mara tangu zama za mama zetu, Aah unachanganya
 
Mzee umekariri sana maisha
 
Ukweli ni kwamba Wanaume ni wengi kuliko wanawake, unaweza kujiamin na bado mwanamke akakukataa the main point mwanamke mpaka awe na hisia na wewe ndo atamkubalia mwanaume
Wanaume ni wengi kivipi unabishana na data?
 
Aah most secret new world order orgs consist of mostly men.
Okay. Kukufahamasha tu ni kuwa Feminism ilianzishwa na Mwanamke Mary Wollstonecraft, baada ya kuandika kitabu chake kinachoitwa 'A vindication of the rights of a Woman'

Mwanamke alianzisha kwa ajili ya wanawake wenzie.
 
Wamekufanyaje tena walimwengu

Anyway tulipofikia ni nyinyi wanawake mmetufikisha
 
Okay. Kukufahamasha tu ni kuwa Feminism ilianzishwa na Mwanamke Mary Wollstonecraft, baada ya kuandika kitabu chake kinachoitwa 'A vindication of the rights of a Woman'

Mwanamke alianzisha kwa ajili ya wanawake wenzie.
Na hii feminism kwa ajili ya wanaume alianzisha nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…