Hii simu inanirahisishia maisha kwa kiasi fulani, natumia bando la 10k tu kwa mwezi!

Hii simu inanirahisishia maisha kwa kiasi fulani, natumia bando la 10k tu kwa mwezi!

Ben-adam

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2023
Posts
1,043
Reaction score
2,309
Wiki iliyopita nilipita duka fulani hivi la simu nikiangalia kisimu cha kutunzia laini zangu.
Jamaa walinishawishi ninunue haka ka itel ka laini 3 dah!

Nataka nikamuongezee hela alieniuzia maana naokoa sana bando langu😅

See this evidence 🤸🤸
IMG_20230913_132740_823.jpg
 

Attachments

  • 16945946597272179804888375054284.jpg
    16945946597272179804888375054284.jpg
    638.8 KB · Views: 7
  • IMG_20230913_114340_940.jpg
    IMG_20230913_114340_940.jpg
    644.6 KB · Views: 7
  • IMG_20230913_114044_437.jpg
    IMG_20230913_114044_437.jpg
    713.4 KB · Views: 7
Back
Top Bottom