Hii simu inanirahisishia maisha kwa kiasi fulani, natumia bando la 10k tu kwa mwezi!

Hii simu inanirahisishia maisha kwa kiasi fulani, natumia bando la 10k tu kwa mwezi!

Picha zinaonekana! Video tu ndo haziplay😀
Kitambo mkuu kumbe sasahv wameboresha.

Inabd nifanye mpango wa kurudi nilikotoka japo mara moja moja maana kipindi hicho nakumbuka nilikuwa najifunza mambo ya astra projection jf kupitia freebasics
 
Kitambo mkuu kumbe sasahv wameboresha.

Inabd nifanye mpango wa kurudi nilikotoka japo mara moja moja maana kipindi hicho nakumbuka nilikuwa najifunza mambo ya astra projection jf kupitia freebasics
kwa post kama za jf unaperuzi vizuri sana bila shida yoyote!
 
Mkuu ukitaka uokoe gharama jiunge internent zisizoisha muda wa maongezi
kwa mfan halotel 500/= unapata mb 200
bila kikomo
hapa utaperuzi jamiiforum mwez mzimaaaa!
 
Mkuu ukitaka uokoe gharama jiunge internent zisizoisha muda wa maongezi
kwa mfan halotel 500/= unapata mb 200
bila kikomo
hapa utaperuzi jamiiforum mwez mzimaaaa!
Hii inawezekana kabisaa🤣🤣
 
Back
Top Bottom