Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Kweli unabana bando lakini je unapata EXPERIENCE sawa na anyetumia Samsung ya Million 1 au hata Simu ya 400,000 tu ni mbingu na ardhi.
Anyway natumia Infinix Hot 7 na natumia bando Kama lako tu kuperuzi JF na mitandao ya Meta marachache na napata Better User Interface, Good User Experience kwenye kioo kikubwa.
Kama hapa Nina MB 30 nimejiungajana usiku nimepakua mpaka App jana na hapa naperuzi JF hadi usiku.
Anyway natumia Infinix Hot 7 na natumia bando Kama lako tu kuperuzi JF na mitandao ya Meta marachache na napata Better User Interface, Good User Experience kwenye kioo kikubwa.
Kama hapa Nina MB 30 nimejiungajana usiku nimepakua mpaka App jana na hapa naperuzi JF hadi usiku.