Hii simu inanirahisishia maisha kwa kiasi fulani, natumia bando la 10k tu kwa mwezi!

Sema ndo hivo watoto wa kishua hawawez kukuelewa.

Mb 100 unaweza peruzi jf hata nusu siku au siku nzima
MBs 50 kwa siku huwezi kuzimaliza kakaπŸ˜…
 
Picha zinaonekana! Video tu ndo haziplayπŸ˜€
Kitambo mkuu kumbe sasahv wameboresha.

Inabd nifanye mpango wa kurudi nilikotoka japo mara moja moja maana kipindi hicho nakumbuka nilikuwa najifunza mambo ya astra projection jf kupitia freebasics
 
Kitambo mkuu kumbe sasahv wameboresha.

Inabd nifanye mpango wa kurudi nilikotoka japo mara moja moja maana kipindi hicho nakumbuka nilikuwa najifunza mambo ya astra projection jf kupitia freebasics
kwa post kama za jf unaperuzi vizuri sana bila shida yoyote!
 
Mkuu ukitaka uokoe gharama jiunge internent zisizoisha muda wa maongezi
kwa mfan halotel 500/= unapata mb 200
bila kikomo
hapa utaperuzi jamiiforum mwez mzimaaaa!
 
Mkuu ukitaka uokoe gharama jiunge internent zisizoisha muda wa maongezi
kwa mfan halotel 500/= unapata mb 200
bila kikomo
hapa utaperuzi jamiiforum mwez mzimaaaa!
Hii inawezekana kabisaa🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…