Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 541
Huo ni mfumo wa kawaida wa usajili ccm walisha anza siku nyingi,Wana ccm waliopo humu watakuwa ni mapambo wasiokuwa na card zae chama Chao,hawajui kuwa ndio mfumo unaotumiwa na chama Chao ndio maana udenda unawatoeka humu.
Hivi nyie CCM si mlisema chadema imekufa na kwamba chama kikuu Cha upinzani kwa sasa ni ACT,iweje mnapoteza muda wenu kupamba na chama mfu kama mwenda zake?
Hivi nyie CCM si mlisema chadema imekufa na kwamba chama kikuu Cha upinzani kwa sasa ni ACT,iweje mnapoteza muda wenu kupamba na chama mfu kama mwenda zake?