Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 541
Acha na huyo kamanda asiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba 🤣🤣Ujinga si sofa wala heshima,.kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha huu ugoro hapa..
chadema inajenga ofisi nchi nzima kila kanda mbona hukulianzishia Uzi?
Kumbuka Chadema haichukui hata senti ya ruzuku... Kuficha ujinga si dhambi
Acha ukuda aisee, Usiseme ofisi tunayojenga... Sema ofisi wanayojenga 🤣🤣🤣Niwekee picha hata moja ya ofisi tunayojenga.
Mkuu huyu etwege, mchukulie Pouwa tu, kwa akili yake anafikiri akijiita kamanda, tutamwona mwenzetu!Ujinga si sofa wala heshima,.kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha huu ugoro hapa..
chadema inajenga ofisi nchi nzima kila kanda mbona hukulianzishia Uzi?
Kumbuka Chadema haichukui hata senti ya ruzuku... Kuficha ujinga si dhambi
Chadema ni mali yetuMnayojenga na nani, tuondolee utaahira wako wa kiccm hapa.
Hii ni kwa ajili ya wanachadema tu sio nyie mataga hivyo ni vyema ukawaachia wao CDM.jinga si sofa wala heshima,.kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha huu ugoro hapa..
chadema inajenga ofisi nchi nzima kila kanda mbona hukulianzishia Uzi?
Kumbuka Chadema haichukui hata senti ya ruzuku... Kuficha ujinga si dhamb
Mbona CDM hakuna watu wajingajinga wewe ulitoka wapi ?Chadema ni mali yetu
Chama hakina ruzuku ,unataka kijiendeshe vipi? Michango ya wanachama ndio vitakavyoendesha chama!! Na wanaochangia ni wanachama wewe unaumia nini?
Roho ya kimaskini inamsumbua huyu mpuuzi
Sawa mkuuHa ha angalau mna uhakika wa jero kwa siku piga kazi kamanda
Utakua uko kwenye mp unasubiria upakuliwe mzuuti"Ninawasihi vijana wenzangu najua tumepigika kweli kweli lakini awamu hii Chadema imeleta fursa. Kila kijana atakayekuwa wakala wa usajili wanachama wa Chadema, kila utakaposajili mtu mmoja unapata shilingi mia tano." Mhe. John Pambalu
View attachment 1807701
Sasa wewe una taka nikujibu nn?Hii ni kwa ajili ya wanachadema tu sio nyie mataga hivyo ni vyema ukawaachia wao CDM.
Hivi nawe ni Kamanda? Hufananii!!"Ninawasihi vijana wenzangu najua tumepigika kweli kweli lakini awamu hii Chadema imeleta fursa. Kila kijana atakayekuwa wakala wa usajili wanachama wa Chadema, kila utakaposajili mtu mmoja unapata shilingi mia tano." Mhe. John Pambalu
View attachment 1807701
Tuondolee utaahira wako wa kiccm hapaChadema ni mali yetu
Ha ha angalau mna uhakika wa jero kwa siku piga kazi kamanda
Mapito Mwanza alikupa hayo majibu hapo wakudadavuliwa!Wewe mbwa alie choka jikite kumlea mtoto uliezaa na Madelu huku Chadema tulikufulusha sasa umalaya wako utakuponza maderu anamke
Mpaka leo kimyaaaaMapito Mwanza alikupa hayo majibu hapo wakudadavuliwa!
Ni kawaida yake, kuna madongo akipewaga anazimaga na data kabisa!Mpaka leo kimyaaaa
Tutadeel nao hawa mapopoma ya lumumbaNi kawaida yake, kuna madongo akipewaga anazimaga na data kabisa!