Hii status ya HESLB ina maana gani? Au ndiyo nimwandalie dogo ada mapema tu?

Hii status ya HESLB ina maana gani? Au ndiyo nimwandalie dogo ada mapema tu?

Kuna nasubiri kumuangalizia leo akikosa sijui itakuwaje maana matarajio yote kawekeza hapo mwaka jana alikosa hakuenda chuo Mwaka huu kaweka hadi cheti cha kifo cha baba yake lakini amekosea batch ya 1..
Kama kaweka cheti cha kifo na form imepita kwenye verfication anapata lakini si mwanafunzi anayeendelea na chuo? Kama ndio wao uwa batch zao zinautofauti kabisa sio hizi zilizoanza toka wao uwa ni batch ya mwisho kabisa hapo za mwanzo wanapewa mwaka wa kwanza wanaoenda anza chuo awe mvumilivu kidogo asubili batch ya tatu ndo inakuwaga na wanafunzi wanaoendelea na chuo
 
Huenda kozi uliyochaguliwa haikua priority mkuu.
Mkuu niamini akuna maswala ya priority kozi ni bahati tu aya mambo tunaomba wengi atuwezi pata wote hyo ndo point wewe assume walimu na watu wa afya pekee waombaji wangap zaidi ya bajeti hiliyopangwa kwahyo atuwezi pata wote na kwa bahati mbaya wao wanadai wanazingatia economic status ya muombaji kupitia shule alizosoma Na kitu ambacho uwez pata jibu sahihi
 
Kama kaweka cheti cha kifo na form imepita kwenye verfication anapata lakini si mwanafunzi anayeendelea na chuo? Kama ndio wao uwa batch zao zinautofauti kabisa sio hizi zilizoanza toka wao uwa ni batch ya mwisho kabisa hapo za mwanzo wanapewa mwaka wa kwanza wanaoenda anza chuo awe mvumilivu kidogo asubili batch ya tatu ndo inakuwaga na wanafunzi wanaoendelea na chuo
Mwaka jana alipata chuo na mkopo UDoM ila alipatwa na majanga akashindwa kabisa kuripoti chuo kwa hiyo hakiwahi kufika,kusajiliwa wala kusoma mwaka huu kaomba NIT kapata chuo mkopo stage ya verification kapita bado kupewa..
 
Kwema watu wa Mungu?

Naomba kuuliza,hawa heslb wamemwekea mdogo wangu hii status kwenye account yake.

Je kuna matumaini yoyote ya kupata mkopo kweli au ndiyo nijipange na mapema tu kumtafutia ada?

NOTE:amechaguliwa SUA kozi ya veterinary medicine.View attachment 2392180
Kama kweli unampenda mdogo wako na una kauwezo TAFADHALI USIMUOMBEE MKOPO, LIPA ADA MWENYEWE.
 
Mwaka jana alipata chuo na mkopo UDoM ila alipatwa na majanga akashindwa kabisa kuripoti chuo kwa hiyo hakiwahi kufika,kusajiliwa wala kusoma mwaka huu kaomba NIT kapata chuo mkopo stage ya verification kapita bado kupewa..
He kwa maana iyo huyo anahesabika kama mwaka wa kwanza anayeanza chuo hzi batch zinamuhusu vip batch ya pili bado aikua nzuri tena kwa upande wake au wamempa
 
He kwa maana iyo huyo anahesabika kama mwaka wa kwanza anayeanza chuo hzi batch zinamuhusu vip batch ya pili bado aikua nzuri tena kwa upande wake au wamempa
Kwan batch 2 wametoa?maana naona wale wa tarehe 21 naona wote wamepigwa tarehe 27.
 
He teyar bach 2 kama wamemsogeza tarehe 27 basi aendelee subir batch 3 mungu ni mwema zidisha maombi
We umepata batch 2?maana kuna mdau kaniambia batch one ilikua ni kwa ajili ya watu ambao hawana wazazi au wenye mzazi mmoja tu,sijui kama kuna ukweli hapo mkuu?
 
We umepata batch 2?maana kuna mdau kaniambia batch one ilikua ni kwa ajili ya watu ambao hawana wazazi au wenye mzazi mmoja tu,sijui kama kuna ukweli hapo mkuu?
Mimi nina watu wawili wote hawana Mzazi mmoja (Baba) hawajapata one wala two
 
Kuna nasubiri kumuangalizia leo akikosa sijui itakuwaje maana matarajio yote kawekeza hapo mwaka jana alikosa hakuenda chuo Mwaka huu kaweka hadi cheti cha kifo cha baba yake lakini amekosea batch ya 1..
Kupata mkopo sio lazima apate batch y kwanza. Aendelee kusubir Lakin pia ukiona huelew beba hayo mafomu nenda hukohuko bodi katimue vumbi. Wanampa walahi
 
Back
Top Bottom