adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Poa nitafanya hivyo maana kuna mwamba aliwahi kuingia na vyeti Moja kwa Moja mpk ofisi namba fulani mule na kujielezea wakampa asilimia za kishindo.Kupata mkopo sio lazima apate batch y kwanza. Aendelee kusubir Lakin pia ukiona huelew beba hayo mafomu nenda hukohuko bodi katimue vumbi. Wanampa walahi