Ni lami kabisa mkuuInategemea na aina ya eneo, barabara za mahandaki, madimbwi, au lami, na foleni n.k. bila kuwasahau wazee wa za kubrashia!
Everyday is Saturday............................... 😎
Atakuja kukumbuka shuka pamekucha, unless awe na mshahara wa level za UN!
Ila kama ni lile kundi la 2.2M kwa mwezi namtakia kila la heri, tukutane 45 yrs hapo akiwa na watoto wawili na mke mpenda starehe!
Kinyerezi..2005 nilikataa kutoa 2m booonge la eneo pale.Aisee!!Waliojenga porini wapo mjini sasa. Fikiria by 2009 yaoiyokua mapori sasa ni mjini kabisa eg kinyerezi na Kifuru
Kwa sababu bado unaendelea kujifunza, nashukuru sana unaanza kukua huku ukifanya maamuzi.Anasema kwa miaka ile hata huko Tabata huko sijui Chang'ombe, kisukulu kulikuwa bado na mashamba ya mihogo yaani angeweza kununua kiwanja kikubwa tu ila akaona mjini ni Sinza! Imekula kwake!
Bado nakua, bado najifunza!
Mtaani kwangu almost wazee wote watumishi walijenga kwa style hii ..kajumba kadogo kwanza then ananyanyua kubwa taratibu miaka 10+ anavunja kijumba kidogo maisha yanaendelea na wengi wana viwanja zaidi ya kimoja ..."muhimu" walishtuka mapema under 35years so wakati watoto wanaanza kuwa teenagers nyumba kubwa inakua imekamilika kiwastani wanaingia.Kupata kiwanja cha kujenga nyumba hasa katika prime area ni changamoto kubwa kwa sisi tunao safiri kuelekea uchumi wa kati. Unakuta pango la mwezi unapokaa ni 350, 000, ukipiga hesabu kwa miaka miwili unaona ni kheri ujenge ya kwako.
Umepata kiwanja kwa milioni 20. Bahati nzuri ulikua na akiba ya milioni 5, benki wakakupa milioni 20 mkopo. Rafiki zangu wengi walichofanya ni kujenga nyumba ya kujistiri nyuma ya kiwanja. Ina basic needs tu na kuhamia.
Mbele ya kiwanja anaweka banda la kuku hawa wa kienyeji na matuta manne ya mchicha. Hapo amepiga mahesabu ya kurudisha mkopo. Watoto wakilalamika wamechoka kula mchicha wanapozwa na kuku. Maharage ndiyo kubadilisha menu.
hili kwenda peponi inabid usizini,usiongope, utoe sadaka uende kanisan au msikitini, usiibe usitukane usiende disco, usinywe pombe wala starehe,,,, Aaah nimeona kabisa siwezi kuukwepa Moto pepo ngumu sana,,,Hehe hehe unacheza na moto wewe[emoji23][emoji23][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
kwani kulea vizuri ni lazima wewe uteseke,,,point yangu ni kwamba siwezi kujitesa ili nijenge au nijitese ili watt waje waish vizut tutaishi vizur wote uku uku mjini kikiisha bas tutateseka woteWatoto huna mpango wa kuwaleta ulimwenguni ndugu?
Hiki kitu lazima kinafanywa na watu wenye akili iliyoenda shule halafu akili hiyo ikatoka shule ikiwa imeelimikaKupata kiwanja cha kujenga nyumba hasa katika prime area ni changamoto kubwa kwa sisi tunao safiri kuelekea uchumi wa kati. Unakuta pango la mwezi unapokaa ni 350, 000, ukipiga hesabu kwa miaka miwili unaona ni kheri ujenge ya kwako.
Umepata kiwanja kwa milioni 20. Bahati nzuri ulikua na akiba ya milioni 5, benki wakakupa milioni 20 mkopo. Rafiki zangu wengi walichofanya ni kujenga nyumba ya kujistiri nyuma ya kiwanja. Ina basic needs tu na kuhamia.
Mbele ya kiwanja anaweka banda la kuku hawa wa kienyeji na matuta manne ya mchicha. Hapo amepiga mahesabu ya kurudisha mkopo. Watoto wakilalamika wamechoka kula mchicha wanapozwa na kuku. Maharage ndiyo kubadilisha menu.
Tukifanya makosa yale yale waliyoyafanya waliotutangulia tutakuwa watu wa hovyo sana! Wenzetu walikosea kwa kuwa hawakuwa na reference, sisi tutajitetea nini?Kwa sababu bado unaendelea kujifunza, nashukuru sana unaanza kukua huku ukifanya maamuzi.
Umekuwa na umeshajifunza.
NOTE: Vaa barakoa na unawe mikono kwa sabuni na maji tiririka pia ukae mbali na mikusanyiko.
Haya endelea na njia yako na mimi nibakie na hii ya utopolo..... Fainali uzeeni....... Utatumia uchowekeza.....utopolo utakuja kulia vby
Lakini umepewa second chance...kutubu, tubu utasemehewahili kwenda peponi inabid usizini,usiongope, utoe sadaka uende kanisan au msikitini, usiibe usitukane usiende disco, usinywe pombe wala starehe,,,, Aaah nimeona kabisa siwezi kuukwepa Moto pepo ngumu sana,,,
nimechagua kuishi vizuri dunian kuteseka Mbinguni,,,siwezi kuteseka kote kote
[emoji16][emoji16][emoji16] mteseke wote, uko so selfishkwani kulea vizuri ni lazima wewe uteseke,,,point yangu ni kwamba siwezi kujitesa ili nijenge au nijitese ili watt waje waish vizut tutaishi vizur wote uku uku mjini kikiisha bas tutateseka wote
Km13-15Hivi mwendo wa nusu saa kwa gari, zinaweza kuwa KM ngapi best?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
naweza kutubu ila najiona kabisa siwezi kuishi bila kutenda dhambi,,, vitu vinavyonipa furaha vingi naambiwa ni dhambi,Lakini umepewa second chance...kutubu, tubu utasemehewa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wengine walisubiri kubwa mwisho hata ndogo wakakosaHiz habar za kujenga nyumba ndog kwanza halaf et tutajenga kubwa baadae mimi nilishayakataa....unajenga kijumba cha kisela af matokea yke unajikuta unazeekea humo...kwanin usijipe muda tu ukiinuka unainuka mzima mzima?
Ndio yale unakuta mstaafu anajengea nyumba pesa ya pensheni. Si sawa sana sema tu ndio maisha. Binafsi naona ni bora nijenge bangaloo pagare complete nipige bati na kuingia nitai finish taratibu mdogo mdog kuliko kujenga kijumba kidogo na kukipiga finishing huku nina mpango wa kujenga nyumba kubwa baadae hapana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126]basi endelea kuneng'enekanaweza kutubu ila najiona kabisa siwezi kuishi bila kutenda dhambi,,, vitu vinavyonipa furaha vingi naambiwa ni dhambi,