Hii style nimeiona kwa wengi mjini

Hongera zako ngoja sisi tuendelee kukariri.....

Alafu ukimaliza kujenga hiyo nyumba ya 50m..... Uza then ongezea pesa kanunue V8.....haaaahaaa

Nikufundishe kitu labda Watu wanao ganga maisha ukinunua gari unatakiwa uwe na gari lingine mfukoni... Na maanisha uwe na pesa nyingine at least ya gar ingine...mfukoni

Ntarudi kuandika nipo busy kidogo
 
Mbona kama umepaniki?
Kwa nini nikimaliza hiyo nyumba ya 50m niiuze?
Nikimaliza hiyo nyumba ya 50 nitakuwa na Gari + Nyumba.

Nitakuwa nimefanikiwa kuwa na hivyo vyote pamoja na kwamba nilianza kununua gari kabla ya kujenga nyumba.

And the point here is... USIKARIRI MAISHA.

Kuna watu kama nyie ambao huwa mnaamini kuwa kununua gari kabla ya kujenga ni kupotea.

I'm here to prove you wrong kwa ushuhuda halisi wa maisha yangu mwenyewe.
 
Unasema unifundishe kitu kwamba "ukinunua gari uwe na gari lingine mfukoni".

Sasa unanifundisha mimi ambaye nina Experience ya kununua hilo gari toka 2018 na nipo nalo mpaka leo na sijawahi kupaki hata siku moja na wala sikuwa na hilo gari lingine mfukoni!!!!

Unashangaza sana
 
Kwenye somo la portfolio analysis & investment...halifundishi iyo nadharia Yako... all in all mshukuru mungu kwa kukufanikisha Na uendelee.. "KICKING THE ODDS" in Life

Njia iliyo sahihi kwa vijana wa kimaskini ni vizuri wa si kimbilie kununua ma gari kabla ya nyumba....

Endelea na maamuzi yako vijana makini wata kupuuza.....
 
Kila kitu ni priority mzee... LEARN THAT FIRST.

Kila mtu ana vipaumbele vyake kulingana na kipato chake na lifestyle yake.

Usilazimishe kila mtu awe na priority kama zako kama ambavyo mimi silazimishi mtu awe na priority kama za kwangu.

Kijana makini hataacha kununua gari kabla ya kujenga ILA ataangalia PRIORITY zake VS Uwezo wake wa kifedha and then atachagua njia ya kwenda.

Mimi niliangalia priority zangu Vs uwezo wangu nikanunua gari nikiwa kwenye chumba kimoja cha kupanga na panapo majaliwa mwaka huu nitajenga na hela za kuanzia tayari zipo.

USIKARIRI MAISHA MZEE BABA
 
Katika maajabu ya dunia na wewe ni ajabu sijui hata kinacho kuwasha kujibizana na mimi Ni nini mimi niliandika mtazamo wangu.....

Aina ya uandishi wako umejaa "U much know"

Endelea na maisha Yako kwani mm ni "Traffic Jam" mpaka nikuzuie....

Na ndio maana hata raia namba Moja Tz....Jpm ukimuuliza Hili swali atakujibu kama mm nilivyo kujibu...
Hata baba ako mzazi ukimuuliza Hili swali atakujibu kwa mtazamo kama wangu
Ova
Sito kujibu Tena maana dawa ya upuuzi ni kupuuza...
 
Ngoja nikanunue kiwanja kingine kule Kisewe Mpiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…