Hii system ya kwenda kusoma chuoni, huenda itakuja ku-collapse siku moja

Hii system ya kwenda kusoma chuoni, huenda itakuja ku-collapse siku moja

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
 
Hakuna kitu kama hicho aisee

Marekani wazungu, walatino na wamaerekani weusi wengi huacha shule sababu ya kushindwa kuendelea kwasababu ya kuona shule ishawashinda, na hii inatokana na makundi ya watu tajwa kutochukulia serious swala la maadili pamoja na msisitizo kwenye elimu.

Ukija kwa upande wa watu wa bara la Asia kuanzia nchi kama Israel, India, Phillipines, South Korea, Vietnam, n.k. hawa ndio tabaka linaloongozea kuingiza vipato vya juu (mzungu hafui dafu hapa) kundi hili wanagonga vitabu vibaya mno, wazazi wao hawana mchezo kabisa linapokuja swala la elimu, watoto wakifika miaka 23 huko tayari wana masters zao wanaingia kazini, kazi marekani zipo kibao sio kama huku.

Muujiza mkubwa kuzidi wote ni wa nigeria, hili kundi ndio linaongoza kwa kuwa na watu walioelimika zaidi marekani nzima, na hawa jamaa ndio wanaongozea kwa kuingiza vipato vya juu kwa tabaka la mtu mweusi marekani, kuna baadhi ya matabaka ya aisia na wazungu wameyapiga gap.

Wamarekani weusi wako bize na mambo ya kujivunia magenge ya uhalifu, kuvuta sana bangi, umalaya,, n.k wao wanaamini njia za kutoboa ni kuimba hiphop ama kuwa mwana michezo, hii huwa hain auhakika unaweza kuta katika kila watu 30 waliochagua michezo au mziki ni moja tu atafika mbali wengine watarudi kwenye uhalifu ama kazi zisizohitaji elimu zenye malipo kidogo.

Elimu itabaki kuwa elimu tu, ila kwa nchi kama zetu hizi ambazo hata ajira tu ni kutafuta kwa tochi unaweza jutia kwenda kusoma kama ndoto yako ilikuwa kuajiriwa
 
Tafuta elimu uitumie katika maisha yako ya kila siku, itakusaidia sana. Usiende shule ili uje kuajiriwa au kufanya "white collar jobs". Ndio maana kabla ya kuingia darasani fikiri kitu gani unaweza kufanya hata usipopata hiyo ajira ya kukaa ofisini.

Kuna kada sasa hivi ukisomea you're totally doomed coz soko liko so saturated na huwezi kujiajiri, kuna kada demand ipo kiasi Ila pia kujiajiri ni ngumu as mtaji wake ni mkubwa sana, lakini zipo kada unaweza kusomea, ukakosa "kuvaa moka na tai" Ila kitaa ukaishi vizuri tu.
 
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
Nice
 
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
Umewaza kwa upeo wa karibu sana
Think widely
 
Kama kila mtu baada ya sekondari school ataingia kitaa kujiajiri maana yake baada miaka kadhaa hakutakuwa na hata walimu mwisho wa siku hata hizo shule hazitakuwepo, hospitali hakutakuwa na madaktari, wauguzi nk
Tutarudi kwenye ujima
 
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
Pole sana !!! Unaidharai lak 9!?? Walahi mungu atakunyooosha haya kazi LA 150000/ per month utaisikia kwa wenzio
 
Unafananisha USA na Tanganyika!?? Pole sana
 
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
Kwa matazamo wako njia rahisi ni kukomaa na scholarships kama unataka sana kusoma.
 
Maisha yote lazima yabalansi. Umesahau tu jana umetoka kudungwa sindano na nesi ambae lazima apate hiyo elimu. Wapo wa kwenda shule na wapo wa mishe za hapa na pale ambazo hazihitaji shule.
 
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
Inategemea na uoni wa macho yako. Ila kwangu mm **** vitu vingi system ya shule imeniwekea maishani mwangu.
1.Exposure, nimekutana na watu wengi wanao nisaidia kwa njia moja ama nyingine kufikia malengo yangu.

2.Nimejua vitu vingi ambavyo either nisinge vijua au ningechelewa kivijua kama nisinge pitia system ya shule.

3.Nimetembea sehemu nyingi ambazo sijuwai kifika, hii imeniongezea uwanda wa kuziona fursa hata nikimaliza ni kuangalia wapi naweza kuanzia maisha.

Issue sio kwenda chuo, issue unaenda chuo gani na course gani? Na unamalengo gani. Zle system za kasome maliza suniri upangiwe kazi ndo zmeshakufa hvo.


Na log off.

[emoji117]Karibu ujipatie LOGO | POSTER | BANGO kwa ajili ya ofisi yako
 
Nimemaliza chuo kikuu mwaka huu, lakini hii dhana ya kuidharau elimu kiasi cha kulinganisha cheti cha degree na toilet paper haikubaliki na siyo kweli.

Tuwe wawazi ni kweli Kuna changamoto ya ajira, lakini je na sisi vijana tunaweza kuzitetea taaluma zetu katika ulimwengu huu wa karne ya 21?

Ukweli ni kwamba vijana hatutumii misuli ya kichwa ipasavyo, hususani tunapokuwa vyuoni huko, mwanafunzi Kama hana assignment au test,atatumia muda wake mwingi kuangalia movies na starehe za ajabu ajabu huku akisahau kwamba alitakiwa muda huo kuwa anachimba na kutafuta ukweli juu ya changamoto zinazomkabili yeye mwenyewe na wengine ktk mazingira yetu ya kila siki, mtu amemaliza chuo kikuu, ukimwambia Basi tueleze mada mojawapo katika nyingi ulizosoma, unakutana na you know nyingi, yaani ni mweupe haswa!.

Nimalize kwa kusema bado vijana wa leo wengi hatuna vile viwango vya mtu halisi mwenye degree yake, akiwemo huyu mleta mada.
 
Back
Top Bottom