Hii system ya kwenda kusoma chuoni, huenda itakuja ku-collapse siku moja

Hii system ya kwenda kusoma chuoni, huenda itakuja ku-collapse siku moja

Uzuri kwa wenzetu ajira zipo. Mtu anamaliza high school anaenda kozi fupi mfano real estate agent miezi sita tu au unesi au mambo ya kodi, akitoka hapo ajira straight forward. Hii bora kuliko kupoteza muda chuo miaka minne halafu unabakia na madeni kibao experience zero.

Mtoa mada una point kubwa na kuna article nilikuwa nasoma jinsi mikopo ya chuo inavyowarudisha nyuma vijana kimaendeleo nchini marekani.

Wale wanaoamua kusoma chuo kwa kutegemea mikopo ni shida. Marekani mikopo ya wanafunzi ni janga kubwa sana. Yani mtu kama huna uwezo wa kulipa cash kusoma chuo au kupata scholarship ni bora kufanya kozi fupi ujilipie kisha uajiliwe moja kwa moja au ujiajiri
 
Hakuna kitu kama hicho aisee

Marekani wazungu, walatino na wamaerekani weusi wengi huacha shule sababu ya kushindwa kuendelea kwasababu ya kuona shule ishawashinda.

Ukija kwa upande wa watu wa bara la Asia kuanzia nchi kama Israel, India, Phillipines, South Korea, Vietnam, Jamaa wanagonga vitabu vibaya mno na wanaishia kupata kazi nyingi zenye malipo ya juu mno.

Muujiza mkubwa kuzidi wote ni wa nigeria, hili kundi ndio linaongoza kwa kuwa na watu walioelimika zaidi marekani nzima, na hawa jamaa wameajiriwa sehemu kibao tu kuanzia wahandisi, madaktari, lawyers, wahasibu, n.k mishahara yao ni mirefu.

Elimu itabaki kuwa elimu tu
Point. Umeupiga mwingi!
 
Kwanza tuanzie hapa, " mental conditioning" ndio nini?! Elimu si kwa ajili ya kuajiriwa , ni kwa ajili ya wewe kujitambua na kuijua vizuri Dunia.Ukielimika vizuri basi Dunia itakupa kila kitu unachohitaji kutoka kwake!
Marekani wengi hawapendi kukaa chuoni kama kuku wa kisasa wafugwao! Huo mfumo technolojia inaupiga teke! Dunia ya leo watu wanasoma online via internet.
Unataka kwenda kukaa Chuo (Boarding) na umalize kukariri madesa yako uajiriwe! Hiyo Dunia uliyonayo kichwani si hii tunayokwenda nayo!
 
Kama kuna kaukweli fulani katika uzi huu
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
 
Kama kila mtu baada ya sekondari school ataingia kitaa kujiajiri maana yake baada miaka kadhaa hakutakuwa na hata walimu mwisho wa siku hata hizo shule hazitakuwepo, hospitali hakutakuwa na madaktari, wauguzi nk
Tutarudi kwenye ujima
Upo sahihi mkuu.
 
Pole sana !!! Unaidharai lak 9!?? Walahi mungu atakunyooosha haya kazi LA 150000/ per month utaisikia kwa wenzi

Nimemaliza chuo kikuu mwaka huu, lakini hii dhana ya kuidharau elimu kiasi cha kulinganisha cheti cha degree na toilet paper haikubaliki na siyo kweli.

Tuwe wawazi ni kweli Kuna changamoto ya ajira, lakini je na sisi vijana tunaweza kuzitetea taaluma zetu katika ulimwengu huu wa karne ya 21?

Ukweli ni kwamba vijana hatutumii misuli ya kichwa ipasavyo, hususani tunapokuwa vyuoni huko, mwanafunzi Kama hana assignment au test,atatumia muda wake mwingi kuangalia movies na starehe za ajabu ajabu huku akisahau kwamba alitakiwa muda huo kuwa anachimba na kutafuta ukweli juu ya changamoto zinazomkabili yeye mwenyewe na wengine ktk mazingira yetu ya kila siki, mtu amemaliza chuo kikuu, ukimwambia Basi tueleze mada mojawapo katika nyingi ulizosoma, unakutana na you know nyingi, yaani ni mweupe haswa!.

Nimalize kwa kusema bado vijana wa leo wengi hatuna vile viwango vya mtu halisi mwenye degree yake, akiwemo huyu mleta mada.
Wewe seniweba itakua umemaliza udsm, njoo hapa jF baada ya miaka 3 ndo uje utetee huu utopolo ulioandika leo Seniweba
 
Kinanishangaza wale wavumbuzi watechnolojia wa ulaya hawasoma elimu za juu kiviile, wengi ni o-level na high school.. wamarekani wengi hawafiki chuo kikuu
 
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga, nahis hao vijana waliona graduates wanavo-suffer.

Kwa hapa bongo mtu unapoteza pesa kusoma chuo, unaingia kwenye madeni Ya heslb, mbaya zaidi unapoteza na muda, halafu ukirudi mtaani ajira hakuna, kazi moja mna-apply watu 2000, na ajira zilizopo ni kutembeza beseni, kwanini mtu uende kusoma chuo? Mpaka upate ajira ya maana kidogo, tena uwe na bahati, hapo umeshasota miaka 5 kitaa

Mbaya zaidi elimu ya chuo, familia zetu na jamii zinatujengea sisi vijana conditioning ya ki*enge tangu tukiwa primary kwamba soma chuo uje uwe na maisha mazuri, soma usije kuosha magari mtaani, soma ufanye kazi za ofisini, so Kijana Ukifika chuo na kugraduate unajiona speeeeciall, Jamii inategemea makubwa na mazuri kutoka kwako, heee ukiingia mtaani kazi zilizopo ni za Kuchoma mkaa na umachinga wa kutembeza beseni, so situation unayokutana nayo Mtaani Ina f*ck up na mental conditioning uliowekwa na jamii kwa miaka 16+ mwishowe mawazo ya kujiua na kuhisi kuwa umelogwa yanaingia kichwani.

Mtu ambaye elimu ilimtoa miaka ya 1990's au aliyeajiriwa baada ya kutoka chuo na kamshahara ka laki 9, hawezi elewa andiko hili.. Ukimwambia kusoma chuo siku hizi ni useless, cheti cha degree Thamani yake ni sawa na ile toilet paper
Aiseeeee
 
Nimemaliza chuo kikuu mwaka huu, lakini hii dhana ya kuidharau elimu kiasi cha kulinganisha cheti cha degree na toilet paper haikubaliki na siyo kweli.

Tuwe wawazi ni kweli Kuna changamoto ya ajira, lakini je na sisi vijana tunaweza kuzitetea taaluma zetu katika ulimwengu huu wa karne ya 21?

Ukweli ni kwamba vijana hatutumii misuli ya kichwa ipasavyo, hususani tunapokuwa vyuoni huko, mwanafunzi Kama hana assignment au test,atatumia muda wake mwingi kuangalia movies na starehe za ajabu ajabu huku akisahau kwamba alitakiwa muda huo kuwa anachimba na kutafuta ukweli juu ya changamoto zinazomkabili yeye mwenyewe na wengine ktk mazingira yetu ya kila siki, mtu amemaliza chuo kikuu, ukimwambia Basi tueleze mada mojawapo katika nyingi ulizosoma, unakutana na you know nyingi, yaani ni mweupe haswa!.

Nimalize kwa kusema bado vijana wa leo wengi hatuna vile viwango vya mtu halisi mwenye degree yake, akiwemo huyu mleta mada.
Elimu unayosoma leo, inazaidi ya miaka 30, yaani baba yako aliosoma kitabu hichi hicho unachosomea leo udactari. Hakuna mabadiliko


Kila kitu kimebadilika kaka, elimu ya sasa inahitaji mabadiliko makubwa mno tena sana, na yenyewe inaonyesha kama inademand kitu


Kinacho wauma vijana, mpka wanafananish hii elimu na toilet paper ni kwamba haina maslahi, kijana anataka akimaliza chuo aanze kujitegemea, leo hii unamwambia ajiari, atajiajiri vip mtaji hana na ametoka familia ya kimasikin. Ndo yale ya kurudi nyumbani

Isitoshe hii elimu siasa imeingia ndan, leo mwanasiasa anapiga hela sana kushinda hata professor, sasa unakuta mtaalamu huyo anaona bora siasa na anacha research na yy anaingia kwenye sias, kwahio ni full tafran
 
Hakuna kitu kama hicho aisee

Marekani wazungu, walatino na wamaerekani weusi wengi huacha shule sababu ya kushindwa kuendelea kwasababu ya kuona shule ishawashinda, na hii inatokana na makundi ya watu tajwa kutochukulia serious swala la maadili pamoja na msisitizo kwenye elimu.

Ukija kwa upande wa watu wa bara la Asia kuanzia nchi kama Israel, India, Phillipines, South Korea, Vietnam, Jamaa wanagonga vitabu vibaya mno na wanaishia kupata kazi nyingi zenye malipo ya juu mno.

Muujiza mkubwa kuzidi wote ni wa nigeria, hili kundi ndio linaongoza kwa kuwa na watu walioelimika zaidi marekani nzima, na hawa jamaa wameajiriwa sehemu kibao tu kuanzia Sehemu nyeti za wizara, jeshi mpaka kwenye wahandisi, madaktari, lawyers, wahasibu, n.k. Wamarekani weusi wako bize na mambo ya kujivunia magenge ya uhalifu, kuvuta sana bangi na hatimae kuingia kwenye madawa, n.k wao wanaamini njia za kutoboa ni kuimba hiphop ama kuwa mwana michezo, huku wengi wakisondwa wanarudi kwenye uhalifu, hapo wanigeria wanakula tu mishahara kwenye vitengo mpaka wazeeke.

Elimu itabaki kuwa elimu tu,
Well explained.
 
Hakuna kitu kama hicho aisee

Marekani wazungu, walatino na wamaerekani weusi wengi huacha shule sababu ya kushindwa kuendelea kwasababu ya kuona shule ishawashinda, na hii inatokana na makundi ya watu tajwa kutochukulia serious swala la maadili pamoja na msisitizo kwenye elimu.

Ukija kwa upande wa watu wa bara la Asia kuanzia nchi kama Israel, India, Phillipines, South Korea, Vietnam, Jamaa wanagonga vitabu vibaya mno na wanaishia kupata kazi nyingi zenye malipo ya juu mno.

Muujiza mkubwa kuzidi wote ni wa nigeria, hili kundi ndio linaongoza kwa kuwa na watu walioelimika zaidi marekani nzima, na hawa jamaa wameajiriwa sehemu kibao tu kuanzia Sehemu nyeti za wizara, jeshi mpaka kwenye wahandisi, madaktari, lawyers, wahasibu, n.k. Wamarekani weusi wako bize na mambo ya kujivunia magenge ya uhalifu, kuvuta sana bangi na hatimae kuingia kwenye madawa, n.k wao wanaamini njia za kutoboa ni kuimba hiphop ama kuwa mwana michezo na huku katika kila watu 10 ni moja tu atafika mbali wengine watarudi kwenye uhalifu ama kazi ndogo ndogo

Elimu itabaki kuwa elimu tu,

Umeelezea vizuri mno mkuu.
Sisi watoto wa mama SSH sijui tunakwama wapi
 
Kwanza tuanzie hapa, " mental conditioning" ndio nini?! Elimu si kwa ajili ya kuajiriwa , ni kwa ajili ya wewe kujitambua na kuijua vizuri Dunia.Ukielimika vizuri basi Dunia itakupa kila kitu unachohitaji kutoka kwake!
Marekani wengi hawapendi kukaa chuoni kama kuku wa kisasa wafugwao! Huo mfumo technolojia inaupiga teke! Dunia ya leo watu wanasoma online via internet.
Unataka kwenda kukaa Chuo (Boarding) na umalize kukariri madesa yako uajiriwe! Hiyo Dunia uliyonayo kichwani si hii tunayokwenda nayo!
Kuelimika vizuri ni lazima ufike chuo kikuu? Binafsi naona elimu ya form 4 is more than enough kwa mtu ambaye alikuwa mtu wa kuzingatia masomo toka UPE na aka absorb 90% ya mafundisho na kuyaelewa!
 
Back
Top Bottom