VizuriBila waanzisha mada kuwepo, jukwaa litakuwa halina maana 'dormant'; ndio maana sehemu zingine wanawaomba ku-'subscribe' na watu watembelee kwa wingi midia iliyopo.
Wa miaka ya 70 kurudi nyuma, mbona ni wema tuHamna cha pepo ni tabia yao tu
Kwa Tyrese huko Marekani kwa nini ameachana na mkewe?Wengi wameshindwa ndoa wanasingizia wanawake, ndoa needs "maturity" ukomavu vijana wengi hawana.
Kwa hiyo, wasio na maokoto hawatakiwi kuwa na hisia?
Ni bora tungebaki na mila zetu za kiafrikaBiejin 1994.
Ndio maana ata ukienda hospitali, unakutana na madaktari bingwa wa watoto, moyo, uzazi n.k Kwa hiyo usishangae sana kwenye mada zanguLakini Ujumbe umekufikia...hata usiangaike kujisafisha...mada zako zinajieleza mkuu 🤣 🤣
SawaNdio maana ata ukienda hospitali, unakutana na madaktari bingwa wa watoto, moyo, uzazi n.k Kwa hiyo usishangae sana kwenye mada zangu
Mahusiano yamekuwa ni ajiraHii ipo Toka kale Incase ikiwa hujatambua.
Walikuwa rahisi kwa Mwanaume mwenye:
1.Mashamba
2.Mwindaji hodari
3.Mkulima hodari
4.Mvuvi makini.
Humo ndani utaona wote kigezo Chao ilikuwa huduma atakavyo pata.
Ila material things kwa Sasa ndio imekuwa focus.
Kubali hiyo ndio kanuni ya mchezo, it's business for them.
Learn and Relearn
Hali tete, imekuwa kama mlipuko wa kipindupindu, kila sehemu ni hela kwanza; unajiuliza kwa nini iwe ni kipindi hiki?Watumia salio katika kupata uchi hao ndio waliodukua mfumo na kuzalisha pattern mpya ambayo Sasa imedominate na kuwa Autopilot kwa kila anayemiliki uchi.
Kinadharia hii tunaichukua, ila ki vitendo kuna mengi zaidi ya hayoHii vita kati ya wanawake wenye pesa na wanaume wasio na pesa naona inazidi kutamalaki kila kukicha....
Anyways, mwanamke yeyote alie komaa anapenda mwanaume anae jiamini na mwenye kuweza kumpa solutuons hata kama hana pesa.
Wamejua Njemba ikiwa na minnyege hela sio kitu.Hali tete, imekuwa kama mlipuko wa kipindupindu, kila sehemu ni hela kwanza; unajiuliza kwa nini iwe ni kipindi hiki?
Kwa hiyo bila pesa, wanakuwa hawana hisia?Tafuta wa type yako,dunia yote kama huna hela hupendeki
Hisia zinalipiwa broKwa hiyo bila pesa, wanakuwa hawana hisia?
Baby sometimes love just ain't enough 🎼Kama utakuwa umefanya utafiti kidogo, utagundua wanawake waliozaliwa miaka ya 80 mpaka leo hii, walio wengi mahusiano yao yanabebwa na pesa.
Wanakuwa na hisia na mwanaume, iwapo huyo mwanaume anaweza kuhudumia au kuhonga.
Kwa mazingira ya sasa, mwanaume huna hela usitegemee kupata mahusiano yaliyotulia.
Sasa najiuliza, hili pepo linalopoteza hisia za wanawake kwa mwanaume asiye na kipato au uchumi duni, na kumfanya huyo huyo mwanamke kuwa na hisia kwa mwanaume mwenye kipato/ uwezo wa kuhonga lililetwa na nani?
Kwa sababu, kwa zamani hii hali haikuwepo; watu walikuwa na mapenzi ya kweli ata kama mnashindia mlo mmoja kwa siku.
Nipo tayari kufanya ibada ya kukanyaga mafuta, tulikemee kabisa hili pepo liondoke kabisa katika hii dunia.
Mamaeh pamoja na yote bado unapata muda wa kumfatilia kila siku mada zake. [emoji23] Mtunuku kipusa hiko.Mada zako Kilasiku ni wanawake wapya unaolala nao....hii wanawake imetokea wapi?
Singo mama hilo kaa chonjo mkuu watu wanawinda .[emoji23][emoji23] na zaid ajabu anafatilia mada zako zote kila sikuWalio kwenye mahusiano biashara utawajua tu
Watu wako kibiasharaHiyo avatar ndo wewe au?
Pesa imepoteza utu kabisaBaby sometimes love just ain't enough 🎼