Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Hii mada nzito sana[emoji23] mimi nishazimiwa sm mara kibao tu enzi hizo ila siwez mzimia now mtu sm labda sababu na uwezo wa kumpa malazi na chakula bila kupungukiwa
Yawezekana wanaokwepa mambo yao hayajakaa vzr so anashindwa kuwa wazi but kama una nafasi usimzimie mtu sm mpokee then akitulia mweleze situation ataelewa ataondoka kwa amani na hatakuwazia mabaya
 
That's true.. unayemkataa anageuka kuwa msaada.
 
Kitu cha kwanza katika maisha yangu ni ndugu zangu, pamoja na familiar yangu.

Mwanamke wangu anatakiwa awapende ndugu zangu kama mimi ninavyowapenda ndugu zake,na kama hataki basi akwende kwao.

Siku ukiwa na matatizo makubwa ni ndugu zako ndo watatafutwa na ndo watakao uhifadhi mwili wako.
 
Hahahaaa naona unamtafuta
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu umeongea kwa uchungu sana ni kweli wanaendaga na mkate na sukari kilo moja lakini mwishowe wanapewa gunia limejaa nafaka na jogoo wa kwenda kula na wanawe.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Masikini ndio wanaendekeza kuja kwa watu bila taarifa. Matajiri kwanza hawana huo muda wa kutembeleana hovyo majumbani. Hakuna watu wenye bajeti kali kama matajiri, kwanza lazima utoe taarifa mapema .a sio kwenda kukaa tu kwake bila plan.
Ukiona mtu ni mchoyo kwenye chakula na malazi kwa mtu,tena wanaofahamiana na anafikia kiasi ambacho anazima hadi simu kabisa ujue huyo ni tajiri kwa nje lakini kiundani ni mwenye uchumi uliojaa madeni na hali ngumu.
 
Hivi kwenye miaka hii bado mtu anaweza kutoka tu huko kijijini na kuja mjini BILA SABABU na kuamua tu kuwa nitaenda kukaa kwa NDUGU (Baba mdogo, mkubwa, Shangazi, Dada, Kaka, Bibi, Babu nk????!!
 
Hivi kwenye miaka hii bado mtu anaweza kutoka tu huko kijijini na kuja mjini BILA SABABU na kuamua tu kuwa nitaenda kukaa kwa NDUGU (Baba mdogo, mkubwa, Shangazi, Dada, Kaka, Bibi, Babu nk????!!
Tunakuja kuosha macho
Tuacheni[emoji23][emoji23][emoji23]

Kila mtu ana ndoto za kufika Dar.



Nadhani shida siyo chakula..
Shida ni taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…